Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,384
- 77,257
Hua unaangalia mechi? Hivi hadi mtu anajiuzulu we unachukulia masihara?Hao nadhani wamefanya Mara moja lkn mzee luiz kashachangia penalty 5 na red card juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hua unaangalia mechi? Hivi hadi mtu anajiuzulu we unachukulia masihara?Hao nadhani wamefanya Mara moja lkn mzee luiz kashachangia penalty 5 na red card juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Matatizo gani? Ya kuwafunga Chelsea na kuchukua FA?kijana Mang'aa Pilipili usioila yakuashia nini? Matatizo yenu Ase8 mmeshayamaliza?
Mzee hata usomeki unatumia mmea nn....mbona umeandika vitu tofautiHua unaangalia mechi? Hivi hadi mtu anajiuzulu we unachukulia masihara?
Naona hao wote wanacheza nafasi moja....kwa akili yako ilivyokutumaKumbe msimuu huu stats kalingana na Mason Greenwood (18). Labda Kai kamzidi Games alizocheza pamoja na Age
Basi we umeingilia show kati.Mzee hata usomeki unatumia mmea nn....mbona umeandika vitu tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha next week ata saini, next week anafanyiwa vipimo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usajili wao mwingi ni wa hapa jamii forum..Kule wanasajili magarasa hata stats hawaleti kutwa utasikia next week next week nyingi
Arteta akimtaka ci mtashangilia tu?Garasa kama hili?View attachment 1547119
Huoni tumeleta vijana wawili Wenye miaka 22 na 18 kama LCB na RCBArteta akimtaka ci mtashangilia tu?
Hakuna mchezaji wa ujerumani aliyewahi ku feli Chelsea wewe..kuna utapeli unaenda ku'happen kwa mara nyingne tena pale pale Uingereza,
Ollachuga Oc kaka mbona bdo upo kmya?[emoji848]
au ndo mwenye zamu ya kununua luku mkeka umechanika[emoji16]View attachment 1547148
Yaan Arteta amekaa na pep ,Leo atake Quantity badala ya Quality?Arteta akimtaka ci mtashangilia tu?
Nani anaweza kumuweka benchi T.Silva apo Arse8?Thiago Silva kawadanganya anajua na kudaka nini? Maana nasikia Kepa kajiuzulu akiwaangalia mnavyomuamini wakati yeye mwenyewe anajijua ni chapati kaamua kujiuzulu.
Silva kadanganya anajua kudaka mmemvagaa
Mnaedit sana punguzeni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo Chelsix nani anawekwa benchi na Silva?Nani anaweza kumuweka benchi T.Silva apo Arse8?
Kweli wewe unahitaji maombiHahaha next week ata saini, next week anafanyiwa vipimo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usajili wao mwingi ni wa hapa jamii forum..
Unafurahia kizee cha miaka 36?Nani anaweza kumuweka benchi T.Silva apo Arse8?
Chelsea ni team iliyoanzishwa mwaka 2005 kocha wa kwanza akiwa mourinhoMnaedit sana punguzeni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Azpiculeta ,pale Wembley alikimbia mech baada ya Kukimbizwa Mara 2 na AubaNani anaweza kumuweka benchi T.Silva apo Arse8?
Toka muanzishe timu 2005 ?Hakuna mchezaji wa ujerumani aliyewahi ku feli Chelsea wewe..
Nyie endeleeni kupiga lomoni nyingi sisi tunavuta vifaa..
#CFC [emoji170][emoji170][emoji170]
Nimesema arteta akimtaka Ross Barkley ci mtashangilia tu..Huoni tumeleta vijana wawili Wenye miaka 22 na 18 kama LCB na RCB
Comredi Kipepe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ..Auba huyu Fikayo anamficha kabisaUnafurahia kizee cha miaka 36?
Ngoja akutane na wahuni wa EPL wenye kasi , hivi anaweza kumkaba Auba au pepe kweli huyo babu?