lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,492
Umekunywa gongo wewe nini?Hawezi kujuta mkuu, hapo North london wanaenjoy life,that's why kina Luiz wanakuja kukamilisha ndoto zao,
Auba n Lacca have enjoyed every single day since they joined us.
#coyg![]()
Luiz anakuja kukamilisha ndoto, zipi? kombe gani mtachukua na Luiz
Luiz ana makombe kibao na Chelsea bora hata alipoenda PSG kuliko Arsernal
Luiz kaja Arsenal kwa sababu Arsenbal ni sawa na kwenda China au Marekani kumalizia uzee na timu mbovu
Luiz angekuwa kwenye form yake asingetoka Chelsea kwenda Arsenal. Angetoka Chelsea kwenda Barca au Real Madrid


