Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1595254950136.png
 
Cheltako bado ni takataka na itaendelea kuwa takataka kama takataka nyengine
 
Viazi mmebhatisha nafikiri Kocha au de Gea mmoja wapo amebeti sema mjiandae hii team hamna bado sana .. viazi kabisa
 
baada ya kutobolewa ndo unaandika hizo pumba zako
Viazi mmebhatisha nafikiri Kocha au de Gea mmoja wapo amebeti sema mjiandae hii team hamna bado sana .. viazi kabisa
Baada ya kufungwa ndo unasingizia kuwa walibet
 
Haki vile uchawi upo yani takataka Cheltako imfunge Man utd
 
Viazi mmebhatisha nafikiri Kocha au de Gea mmoja wapo amebeti sema mjiandae hii team hamna bado sana .. viazi kabisa
Sawa. Kama sisi ni timu mbovu na tumebahatisha basi ninyi ni timu mbovu, mara elfu. Maana hata kubahatisha hamjui!
 
Hapo ulipo nazani unajua ukweli SEMA tu unajipa moyo na Chelsea kawaida hamalizi msimu bila kupata kombe.
Unayo mangapi mpaka sasa, ingekuwa hivyo si mngekuwa timu kubwa sasa
Na ndio mngekuwa king of london, ila kwakuwa hamna mataji ya kutosha nyinyi mnabaki kuwa kama Brighton tu
 
Hata aibu hauna mkuu kwenye ligi upo nafasi ya 10 halafu utaongea Nini na wewe kwangu, arsenal wewe ni kama Norwich tu, we kwangu hauna lolote, eti nilikuotea wewe unaweza pigwa nne halafu unasema nilikuotea kweli!?, hebu kuwa na aibu arsenal ni ile ile tu haijbadilika popote. Ngoja upepo wa kisulisuli uje nikupige nyingi Sana.

LONDON IS BLUE,arsenal ni utopolo tu, nothing more.
Kwani Westham aliyekugonga 3 anashika nafasi ya ngapi? Au ndio bingwa wa ligi????
 
Ukweli ni kwamba Arteta ameibadilisha Arsenal
Arsenal hii sio ile ya kichwa cha mwenda wazimu
Arsenal wameimarika sana kwenye defense na mbele
Arsenal sio timu ya kuwabeza
Chelsea wakiendeleza wembe huu wa jana tutawalazimisha akina Luiz wafanye mistakes nyingi zitakazozaa magoli
Ila wale kina Rudiger hawawezi kufanya mistake na kina Auba wakafunga eeeehh
Yaani unaongea kama siku hiyo hatutakuwa na striker kali duniani,
Subirini mkamilishe ratiba, sisi hilo kombe tuna DNA nalo
 
Arsenal Hana ubavu wa kupata matokeo dhidi ya Chelsea kutokana na aina ya uchezaji wa Chelsea,sisi tukicheza mpira wa kigumu tuna kuwa untouchable game ya Jana Giroud aliwafanya mabeki wa man u wafanye makosa so man City hawana Aina ya striker mwenye nguvu ndio maana mabeki wa arsenal walienjoy game.
Na game ya Liver??? Kilio chenu kitakuwa kikubwa sana
 
Wewe na Man u hamnaga utofauti ukishinda mechi mbili tayari ubingwa mara upo kwenye form mara lacazeti, mara auba yupo kwenye form. Mpira siyo kama unavyofikiria ivo.

Pia unapoongea unatakiwa kukumbuka juzi tu nimekupiga nje ndani kwenye Ligi bila kusahau BAKU kwenye Uropa

Sasa kati ya chelsea na Arsenal nani utopolo?
Muwe mnaangalia mipira sio stori za vijiweni
Game ya kwanza mlishinda kwa mbeleko baada ya refa kuwabeba vya kutosha mlitakiwa mmalize pungufu kabisa jorginho alicheza rafu nyingi sana na refa akawa anaangalia tu,
Game ya pili tuliwapigisha kwata pale Emirates tukiwa pungufu kwa muda mrefu na mkafanikiwa kupata suluhu kwa shida, huku bwana mdogo u18 Gabriel Martinelli akiwatungua goli la msimu la EPL.

game ya baku ni wazi Cech aliuza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom