Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mmh kwan wachezaji gani wazuri mmekuwa linked nao kwa sasa HV mkigombania kucheza Europa huko ukiachana na Thomas?
Huyo anakuja mkuu,hatuchezi michuano yoyote kimataifa nxt season lakini anataka kuja tu, umeona ukubwa wa timu yetu sio hizo link mnazoweka hapo.
 
Jukwaa lenu limechacha kule ..nyie pambaneni mcheze Europa mwakani ..achaneni na FA siyo ya kwenu tena..
Kibonde wewe nakupasua First half tu,Hatujawahi poteza final ya FA dhidi ya midtable nyie, ilo kombe huwa letu pk wameliita Emirates FA cup
 
Ukubwa wa klabu yangu hauhitaji pk nisome hizo link,ukubwa wetu hata kwa macho ya mwili tu unaonekana,we endelea kutafuta ukubwa kwny pepa.
Yaani hawa wamebaki kutuadidhia hadithi za mababu zao, ukiona katimu imefilisika ndio hawa Arsenali
 
Nani akatae Arsenal ikiwa kwenye ubora wake,sisi tunaleta Watu km Auba,Pepe na hatupo UEFA,ht tusipocheza Europa tunaweza kuattract good players,wewe jaribu usiende Uefa uone nani atakuja kwenye utopolo huo

"When Arsenal knock it's a different knock"~Raul
#Coyg
Nyie tunasubiri kuwazika tu rasmi kama Sunderland, kelele hizo ni za mfa maji haachi kutapatapa!!!!!!
 
Sisi tulimaliza nafac ya 10 ule msimu Wa mou na guus hiddink tukasajili world class kina kante na kina Alonso kwann wasingeenda arsenal
Mwaka uliofuata tukachukua ndoo
Wao wamemsajili Pepe na Auba wakaishia Europa bila kombe
Nakuambia Auba anajuta katika maisha yake kwenda Arsenal kama ambavyo Di Maria alijuta kusajiliwa na Manure, too bad!!
 
Fukara nyie, mmeanza kumezea mate pilau kwa kuku kwa jirani, hamna uwezo wa kumsajili Ziyech
Huyo naye ni wakusajiliwa? huyo tulikuwa tunambeba bure sema namba yake wapo watu wa kazi kina Bukayo Saka,sie tunasajili Pepe/Messi mweusi
 
Mwaka uliofuata tukachukua ndoo
Wao wamemsajili Pepe na Auba wakaishia Europa bila kombe
Nakuambia Auba anajuta katika maisha yake kwenda Arsenal kama ambavyo Di Maria alijuta kusajiliwa na Manure, too bad!!
Hawezi kujuta mkuu, hapo North london wanaenjoy life,that's why kina Luiz wanakuja kukamilisha ndoto zao,
Auba n Lacca have enjoyed every single day since they joined us.

#coyg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom