Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wewe na Man u hamnaga utofauti ukishinda mechi mbili tayari ubingwa mara upo kwenye form mara lacazeti, mara auba yupo kwenye form. Mpira siyo kama unavyofikiria ivo.

Pia unapoongea unatakiwa kukumbuka juzi tu nimekupiga nje ndani kwenye Ligi bila kusahau BAKU kwenye Uropa

Sasa kati ya chelsea na Arsenal nani utopolo?
Wewe trend yetu si unaiyona mkuu, km game tumepoteza ujue tulidharau tu km mechi ya Spurs,shida yetu kubwa kwny big match ilikuwa ni discipline toka enzi za Wenger, Arteta kadili na hilo vizuri that's why matokeo tunayapta kwny mechi ngumu nw.

Nyie always mnatufunga tunapokosa nidhamu ya mchezo, hiyo ndio huwa ngao yenu toka enzi za Mou,wachezaji kufanya blunders za kipuuzi, pona yenu ni tupate redcard,
Mjiandae kisaikolojia.

Auba huyo anakuja kwa Kepa

#Coyg
 
Mkuu Arsenal haniwazishi kabisa hata awe kwenye ubora gani. Lazima tulipe kisasi cha fainal ya FA mwaka 2017 walitupiga 2-1.

Arsenal ya kipindi kile ilikua moto na walifanya ili kuweka heshima kwa Wenger ndio alikua nakaribia kuachana na maswala ya mpira. Hii Arsenal ya sasa hata kesho anakufa mapema sana.
Kwa utopolo wa Mason Mount ,sie tunacheza na kina Gabriel jesus,Riyad mahrez sio utopolo huo,afu hii mechi its all about tactical approach na kocha wenu mweupe sn kwny hii sekta, Show za kihuni za watoto wa mjini kina Arteta haziwezi
 
Unayo mangapi mpaka sasa, ingekuwa hivyo si mngekuwa timu kubwa sasa
Na ndio mngekuwa king of london, ila kwakuwa hamna mataji ya kutosha nyinyi mnabaki kuwa kama Brighton tu
Arsenal sio king of london kwa sababu hajawahi kubeba uefa
 
Bila kumfunga liver unadhani we naye utaonekana ni timu?,Kazaneni kufunga timu kubwa ili mpande chart,yaani nyie mkikaa miaka 5 bila kombe lolote mnarudi level zenu za Blackburn rovers tu.
Ukweli mchungu
Mtamu kutema, mchungu kumeza
Level zao ni Aston Villa na Nottingham forest
 
Wewe trend yetu si unaiyona mkuu, km game tumepoteza ujue tulidharau tu km mechi ya Spurs,shida yetu kubwa kwny big match ilikuwa ni discipline toka enzi za Wenger, Arteta kadili na hilo vizuri that's why matokeo tunayapta kwny mechi ngumu nw.

Nyie always mnatufunga tunapokosa nidhamu ya mchezo, hiyo ndio huwa ngao yenu toka enzi za Mou,wachezaji kufanya blunders za kipuuzi, pona yenu ni tupate redcard,
Mjiandae kisaikolojia.

Auba huyo anakuja kwa Kepa

#Coyg
Subiri mkutane na Chelsea ndio mtajua mna discipline au hamna?
 
Ukiuliza utaambiwa kwa miaka hii mitano
Mnaforce ukubwa dah, ukubwa unakuja wenyewe,

London is Red
 
Mkuu arsenal ndo anamakombe mengi ya epl kuliko chelsea tena wametuacha kwa gap kubwa na ndo kombe ambalo watatamba nalo hakuna kombe lingine waliotuzidi kwa gap kubwa
 
Kwa utopolo wa Mason Mount ,sie tunacheza na kina Gabriel jesus,Riyad mahrez sio utopolo huo,afu hii mechi its all about tactical approach na kocha wenu mweupe sn kwny hii sekta, Show za kihuni za watoto wa mjini kina Arteta haziwezi
Kwani sisi huyo man City hatujambomoa mpaka uje kututambia hapa?
 
Kwa utopolo wa Mason Mount ,sie tunacheza na kina Gabriel jesus,Riyad mahrez sio utopolo huo,afu hii mechi its all about tactical approach na kocha wenu mweupe sn kwny hii sekta, Show za kihuni za watoto wa mjini kina Arteta haziwezi
eti show za kihuni mara show za watoto wa mjinj kina Arteta. Huyo Mount umeuona moto wake jana au unasimuliwa? Sijamtaja Kova wala James hapo.

Enhee iiiih!! Nawaonea huruma nahisi zitakua si chini ya 5
 
Hujanipga gap kubwa kwny FA
Wewe unakakamaza fuvu
Screenshot_20200720-224921.jpg
Screenshot_20200720-225123.jpg
 
Bila kumfunga liver unadhani we naye utaonekana ni timu?,Kazaneni kufunga timu kubwa ili mpande chart,yaani nyie mkikaa miaka 5 bila kombe lolote mnarudi level zenu za Blackburn rovers tu.
Wewe una miaka Kama 2 ujaiona pepo ya uefa na Mafanikio yako makubwa Ni kuingia top 4 basi sarri pamoja na kushinda ueropa league lakini tulimfukuza angekuwa kwenu si mngekuwa mnamuabudu kabisa alafu unakuja kutupigia kelele hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom