Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii comment huwa wanairuka teh teh
Wanajimegea vipindi eti wanasema tuanze kihesabj kuanzia mwaka 2000hawa ni vichaa!!! Ina maana kuanzia 1999 kurudi nyuma cheltako haijakuwepo duniani? Kama ni hivyo timu yao imeanzishwa 2000 sasa kwanini wakomae kuutaka ukubwa na hata barehe ya kwanza bado, yaani bado vigoli
Ndio maana nasema hili ni jukwaa la vitoto
 
Wanajimegea vipindi eti wanasema tuanze kihesabj kuanzia mwaka 2000hawa ni vichaa!!! Ina maana kuanzia 1999 kurudi nyuma cheltako haijakuwepo duniani? Kama ni hivyo timu yao imeanzishwa 2000 sasa kwanini wakomae kuutaka ukubwa na hata barehe ya kwanza bado, yaani bado vigoli
Ndio maana nasema hili ni jukwaa la vitoto
Ila huu ufalme wenu umekuwa gumzo
Aise
 
Chelsea sio size yako nenda ukaongea na hakina everton West Ham ndo size zako hizo Ndo wewe inabidi hujishangae timu yenu tangia ilopoanzishwa kwny miaka ya 1880s na hauna hata kombe 1 la uefa hata chelsea ya mwaka 1905 imekushinda halafu na bado unapiga kelele zako
Kusanya mataji yako mpaka ya championship lete tupige hesabumbona simple tu.
Ni addition na substraction tu
 
Mkuu umechanganya mafaili

Kai Havertz anacheza namba 10 tofauti na Willian, ila tushukuru maana dogo anacheza nafasi kama nne kwa ufasaha. Huyu kiraka anaweza akacheza MC (Midfielder Center), RW (Right Winger), ST (Striker) na nafasi anayo ipenda zaidi ni AM (Attacking Midfielder). Nadhani kutokana na jinsi alivyo kiraka pamoja na umri wake ndio maana Lampard anamtaka.

Katika mashindano yote msimu wa 2019/20 kahusika moja kwa moja kwenye magoli 28 katika michezo 46, sio haba tukiwa nae kwenye kikosi.
kuna mechi kacheza kma winga thus y nkamlinganisha so icho ndo nlicho mkompare nacho
 
Kwani hapo chelsea WCP ni nani na nani? Usije kusema Giroud tuliyemtema kwa kukosa nafasi katika kikosi chetu
Mkuu usichekeshe umma kante humjui sio, tulikuwa n hazard kasepa sahv tunawachezaji potential Wa kufika level hizo pulisic, Werner, ziyech ...huyo giroud mliomtema cha ajabu amenyanyua kwapa msimu wake Wa pili tu huko auba anajuta anajiuliza kwenye mkataba
 
Leta makombe yako ya EPL tangu mwaka 1992, yale ya wanawake weka pembeni.
Kwahiyo Cheltako ilizaliwa 1992?

Ndio maana nasemaga humu watoto wengi
images%20(1).jpg
images.jpg
 
Mkuu usichekeshe umma kante humjui sio, tulikuwa n hazard kasepa sahv tunawachezaji potential Wa kufika level hizo pulisic, Werner, ziyech ...huyo giroud mliomtema cha ajabu amenyanyua kwapa msimu wake Wa pili tu huko auba anajuta anajiuliza kwenye mkataba
Wewe hujieleei yaani Timo na pulisika ni WCP hahahaah
 
Kwani hapo chelsea WCP ni nani na nani? Usije kusema Giroud tuliyemtema kwa kukosa nafasi katika kikosi chetu
Mtawajua kwa matendo yao, Giroud katupa Europa na sasa anakaribia kutupa top 4 tena top 3. Hapo vipi?
Giroud kaondoka kwa walalahoi kwenda kwa Mabingwa watetezi wakati huo Chelsea ili apate kibali cha kucheza Kombe la Dunia 2018

Arsene Wenger has revealed that Olivier Giroud’s determination to play for France at the 2018 World Cup was behind the striker’s decision to leave Arsenal for Chelsea in the January transfer market.

Chelsea completed the signing of Giroud earlier this week, on an 18-month deal for a fee in the region of £18m.

His move to the reigning Premier League champions was confirmed soon after Arsenal completed a club record deal for Pierre-Emerick Aubameyang, who arrived from Borussia Dortmund for £56m.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom