Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nyie mlio karibu na Lampard muambieni apange hii hii timu kwenye mechi mbili za ligi zilizobaki

Na pia muwaambie hao wachezaji kuanzia kwa Zouma, Rudiger Azpi, James, Alonso, Kovacic, Jourginho, Mount, Giroud na Willian, wembe ni ule ule, pressing ni ile ile, defending ni ile ile mpaka kieleweke. Tunahitaji point sita ili tubaki no. 3
 
We kiazi acha sababu kipigo Kipo pale pale [emoji23][emoji23][emoji23]
Asa we ndo kiazi maana umefungwa😁😁😁, watu bhana man United nayo timu hiyo!?, Mabeki yanagongana vichwa yenyewe kwa nyenyewe, 18 games haujapoteza halafu upo nafasi ya tano tu hauhami😃😃😃, hivi mko serious kweli na kocha wenu olesendeka!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom