Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelshete leo mutabidi mutusamehe.
Tunahitaji kuingia final, maana Kule tunamkuta Arsenal8 keshavua chupi lake tayari kulamba lolo.
 
Pulisic - Giroud - Willan

Alonso - Kovacic - Joginho - James

Rudger - Zouma - Azipucueta

Leo ni mwendo wa ulinzi shirikishi, hakuna kufunguka ni kunabana nafasi, tunaziba njia zote za mawasiliano. Mechi tukaimalize kwenye matuta.
Hii ndo game plan ambayo lampard inabidi aingie nayo,tusitake kucheza mpira saanaa...pia nimeangalia mechi za man u wanapata sana shida wakicheza na timu inayojilinda zaidi
 
Kwanini Pulisic nje aisee! ... mnataka tusikae kwa amani huku mtaani wazee? ...
Sababu hiyo hapo
IMG_20200719_195100.jpg
 
Wachambuzi wote wa Wasafi sports court wameipa kura Chelsea ataibuka na ushindi leo.Ngoja tuone Nini kitatokea.
 
Ushindi wa leo wa MOU utaifanya mechi na Liver isiwe na presure
 
Pamoja na formation ya kujihami tunamiliki mpira zaidi ya 60%
Manyumbu hawachezi kabisa nafikiri wanasubiri counter
 
Pamoja na formation ya kujihami tunamiliki mpira zaidi ya 60%
Manyumbu hawachezi kabisa nafikiri wanasubiri counter
Leister leo alikua na 70% possesion na kapigwa 3 bila.

Hapo bado sijasemea man city dhidi ya asenane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom