Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sisi watoto wa arteta tupo makini tunamfutilia mwali wetu wa kumuoa pale Wembley.
Mkuu wakumbushe tulivyokutana palepale Wembley miaka michache nyuma huku wana hazard,Costa na takataka nyingine ubao ulisomekaje.
Enzi hizo âš½Ramseeeyy!
 
1st goal. Giroud
1595184577605.gif
 
kikosi Cha Chelsea kwa mda huu bdo Kiko ovyo kuliko Man untd so sometimes ishu wachezaji wenyew kujituma
Kina Cho wasaidia man untd wachezaji wenyew wanajitoa kwenye uchezaji
bado kikosi cha hovyo
 
Watu wanatubeza mechi ya leo wanasahau tulicheza na Liver kama underdog tukamfunga tukaingia robo fainali, tukacheza na Leicester tukamfunga tukaingia nusu fainali.

Tuwe na imani na tuwaamini wachezaji wetu. Nyumbu anakufa leo 🔵🔵🔵
underdogs siku zote wanafanya kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom