Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mazee kwanini tusimuazime Conte kwa Muda aje apange kikosi cha leo ..mimi naona kama Lampard atafeli aise..
kikosi Cha Chelsea kwa mda huu bdo Kiko ovyo kuliko Man untd so sometimes ishu wachezaji wenyew kujituma
Kina Cho wasaidia man untd wachezaji wenyew wanajitoa kwenye uchezaji
 
Nawakumbusha kituko chenu,
IMG_20200717_180657_732.jpg
 
Sun19th
ACCIDENT
Man utd vs Chelsea (6pm)

Wed 22th
DEATH
Liverpool vs Chelsea (8:15pm)

Sun26th
Wake keeping
Chelsea vs wolves (4pm)

Then finally

August 8th
Burial ceremony
Bayern Munich vs Chelsea(8pm)

I cometh in peace
 
Sun19th
ACCIDENT
Man utd vs Chelsea (6pm)

Wed 22th
DEATH
Liverpool vs Chelsea (8:15pm)

Sun26th
Wake keeping
Chelsea vs wolves (4pm)

Then finally

August 8th
Burial ceremony
Bayern Munich vs Chelsea(8pm)

I cometh in peace
Duuuh mbona una roho mbaya wew, sio vizuri kuwaombea ndugu zako kifo
 
Watu wanatubeza mechi ya leo wanasahau tulicheza na Liver kama underdog tukamfunga tukaingia robo fainali, tukacheza na Leicester tukamfunga tukaingia nusu fainali.

Tuwe na imani na tuwaamini wachezaji wetu. Nyumbu anakufa leo 🔵🔵🔵
 
Watu wanatubeza mechi ya leo wanasahau tulicheza na Liver kama underdog tukamfunga tukaingia robo fainali, tukacheza na Leicester tukamfunga tukaingia nusu fainali.

Tuwe na imani na tuwaamini wachezaji wetu. Nyumbu anakufa leo 🔵🔵🔵
Kwani ujawazoea mashabiki wa manyumbu walivyo au wewe Ni mgeni wa soka?
 
Kudos Mourinho
Kocha wa matokeo
Spurs 3- LFC 0
Kane katumbukiza mbili ndani ya dk 2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom