Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ingekuwa ni Bongo tungesema leo manyumbu wamelogwa
Chelsea wangekuwa 2-0 kama Alonso angekuwa clinical kwenye krosi ua Azpi
 
Asante sana Willian Azpi na Giroud mnakuwa mfano mzuri kwa vijana
Willian+Azpi cross+ Giroud clinical touch = Goal
 
Asante sana Willian Azpi na Giroud mnakuwa mfano mzuri kwa vijana
Willian+Azpi cross+ Giroud clinical touch = Goal
Huu upande ambao goli limetokea una madhaifu mengi mno. Willian na Azpi wanatumia experience zao. Safi sana
 
Tatizo watu wanai judge Chelsea kwa mechi mbovu kama ile ya Shefield, inapokuja mechi ambayo Chelsea iko kwenye form wanapotezea
hii form ya leo ndio iliyoifanya Chelsea iwe top 3 hadi sasa. Liver tutawafunga na Wolves pia na hakuna wa kututoa hapo. Man U wao wamaliza e na LFC
 
Kilichotokea leo kila mmoja anamtegea mwenzake kufunguka ila bado naona tunalazimisha defensive game japo hatuna wachezaji wenye uwezo wa kucheza hivyo. So far so good wachezaji wanajituma sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom