Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hili kombe nachukua dk ya 30 tu, vibonde nyie tunajipigia mapema sn.
Mnyama Lacazette karudi form, huku nina Nico Pepe, Kule foward kali duniani Auba, nani wakutuzuia Utopolo nyie.Mlishindwa tukiwa nusu na watoto kina Martinelli mtaweza full mkoko.
Arsenal bhana😂, mnapata wapi ujasiri wa kuongea kwanini msisubiri fainali kwanza ichezwe!?, Kumbuka ile ni Derby, usitegemee kushinda kiraahisi sanaaa, kumbuka Chelsea siyo city ya kupigiwa counter attacks, otherwise matokeo ya BAKU yatajirudia tusisahau hilo, arsenal hamjawa form namna hiyoo Hadi kutishia amani kwa Chelsea.

Wembley here we come, hala Chelsea 💪
 
Arsenal bhana😂, mnapata wapi ujasiri wa kuongea kwanini msisubiri fainali kwanza ichezwe!?, Kumbuka ile ni Derby, usitegemee kushinda kiraahisi sanaaa, kumbuka Chelsea siyo city ya kupigiwa counter attacks, otherwise matokeo ya BAKU yatajirudia tusisahau hilo, arsenal hamjawa form namna hiyoo Hadi kutishia amani kwa Chelsea.

Wembley here we come, hala Chelsea 💪
Naipenda Chelsea ikiingia kwenye mechi kama underdog kwa sababu itacheza vizuri
Mara nyingi Chelsea ikiingia kwenye mechi ikiwa na oponent weak ndio inafungwa
 
Huwa nafurahi sana kuona wakina dada wanashabikia timu kama Chelsea..naona ni wanawake wenye busara sana[emoji846][emoji846][emoji846]
Ni kweli kabisa hata mimi huwa nafarijika sana, Wadada wengi wamejazana kule Man United na wachache Arsenal. Mpaka siku moja mwaka juzi kwenye kombe l;a Dunia mmoja akaniuliza kama Arsenal nao wanashiriki kombe la dunia??
 
Ni kweli kabisa hata mimi huwa nafarijika sana, Wadada wengi wamejazana kule Man United na wachache Arsenal. Mpaka siku moja mwaka juzi kwenye kombe l;a Dunia mmoja akaniuliza kama Arsenal nao wanashiriki kombe la dunia??

Man United amekuwa kwenye form kwa almost 2 decades, amevuna sana washabiki kwa kipindi hicho, hasa 1997/8 mpaka hiyo 2013.

Wanawake kwenye kuchagua timu hawana mambo mengi, wengi wanaangalia timu inayoshinda au ambayo mtu wake wa karibu anashabikia.

Arsenal alipata washabiki kipindi cha Thierry Henry. Ingawa si wengi kama wa United.

Liverpool inaweza kuwa inafata kwa kuwa na washabiki wa kike baada ya Man U, Arsenal then Liverpool.
 
Willian Adai Yuko Tayari Kusaini mktaba kesho
“Chelsea only offered me two years and I asked for three. My goal is the next contract to sign for three years. I haven’t had a deal with Chelsea yet.
"This is what I asked the club for, three years of contract. If you give me that, I’ll get the pen and sign the contract tomorrow.”
 
Arsenal bhana[emoji23], mnapata wapi ujasiri wa kuongea kwanini msisubiri fainali kwanza ichezwe!?, Kumbuka ile ni Derby, usitegemee kushinda kiraahisi sanaaa, kumbuka Chelsea siyo city ya kupigiwa counter attacks, otherwise matokeo ya BAKU yatajirudia tusisahau hilo, arsenal hamjawa form namna hiyoo Hadi kutishia amani kwa Chelsea.

Wembley here we come, hala Chelsea [emoji123]
Wewe kwetu huwa laini laini ya Mombasa,mlituotea tulivokuwa na yule bwege muhindi kule Baku,ngoja tuwashike mdebwedo, round hii First half tu game imeisha.
 
Maguire hapa alikua akicheza disko au akikaba, Goli la kwanza la Giroud

1595219202185.png

Manchester United’s unbeaten run is finally over.
United hadn’t lost since January 22 when they fell to a 2-0 loss at home to Burnley.
 
Wewe kwetu huwa laini laini ya Mombasa,mlituotea tulivokuwa na yule bwege muhindi kule Baku,ngoja tuwashike mdebwedo, round hii First half tu game imeisha.
Hata aibu hauna mkuu kwenye ligi upo nafasi ya 10 halafu utaongea Nini na wewe kwangu, arsenal wewe ni kama Norwich tu, we kwangu hauna lolote, eti nilikuotea wewe unaweza pigwa nne halafu unasema nilikuotea kweli!?, hebu kuwa na aibu arsenal ni ile ile tu haijbadilika popote. Ngoja upepo wa kisulisuli uje nikupige nyingi Sana.

LONDON IS BLUE,arsenal ni utopolo tu, nothing more.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom