Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hatuna striker ya kuaminika

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la Chelsea sio striker
timu zote zinazofunga magoli mengi utakuta striker, wingas na attacking midfields wanafunga kwa kushindana
waangalie Liverpool na mancity
Tusimtishe mzigo mkubwaTammy
Man city
Aguero striker ana magoli 10
Stearling winga 11
De bruyne MF 7
Gabriel jesus goli 6
jumla 34
Liverpool
Sadio Mane winga 10
MO Salah winga/striker 9
Firmino 6
Jumla 25
Ukija Chelsea ni Tam,my tu ana 12
Wanaofuata
Mount 5 na
Willian 4
Jumla goli 21
Kwa hiyo tunatakiwa kusajili zaidi wingas na midfield aina ya akina lampard wa kutupa double dijit kwenye magoli na assists
 
Uyo Lampard amekua ndezi sana,, huyu ni small team coach
ivi kwani kuna haja ya kufanya substitution timu ikiwa inacheza vizuri,
Uyu odoi alimtetea kua ametoka majeruhi makubwa that is why anashindwa ku"perform...
Sasa kuna haja gani ya kumchezesha mechi ambazo zina pressure...
Unaongoza goli moja,, timu yakl imeweza ku"handle pressure ya mechi vizuri tuu,, then unafanya substitution ya kipumbavu kabisa..

Poor decision by Lampard



Sent using Jamii Forums mobile app
Lampard kashakuwa Ole Sendeka, kilikuwa na haja gani hasa kufanya substitution ili hali timu ikicheza vizuri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo ilikuwa tufungwe 4-1
Pongezi pekee ziende kwa Kepa kaokoa magoli ya wazi 3
 
Sijui mwenzetu ulikuwa unaangalia wapi match. Arsenal walitushika wapi kwa mfano?

Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu wewe achaga mapenzi ya hovyohovyo....first half Arsenal walikamata na kina kante walipoteana mazima ila 2nd half mukarudi vizuri....

Kwanza hiyo game ishapita vipi huko Brighton nasikia mumekimbia chupi mkononi....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani kwema umu ndani

Heri ya mwaka mpya

Lampad bonge la kocha
Screenshot_20200101-172902.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viungo wabunifu mnao wengi sana, acheni visingizio

Kovasic, Pulisic, Odoi
Kwa maoni yangu:- Chelsea inacheza vizuri sana ila nadhani inahitaji KIUNGO MSHAMBULIAJI ambaye ni MBUNIFU SANA arahisishe uchezaji wa timu.

Kwenye ushambuliaji naona kama kuna KAKIUNGANISHI au KAAKILI AU KAUBUNIFU flani kanakosekana.

Sijui kama mawazo yangu ni sawa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NEXT
Valencia - UEFA - 2/11 - AWAY correction 27/11
West Ham 30/11 - HOME
Aston Villa 4/12 - HOME
Everton 7/12 - AWAY
Lile - UEFA 10/12 - HOME
Bournemouth 14/12 - HOME
Tottenham 22/12 - AWAY - Krisimasi ngumu hapa
Southampton 26/12 - HOME- hapa tutakula mwaka mpya vizuri
Arsenal 29/12 - AWAY - hapa tutakula nyama choma na ugali murua na mwaka mpya utaenda vizuri sana

Apa naona ushindi mwanzo mwisho ..sioni wa kutuzuia apo..

Kila la kheri Chelsea[emoji170][emoji170][emoji170]

Fanya Calculation hapo mumevuna ngapi na kupoteza ngapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom