Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

NEXT
  1. Valencia - UEFA - 2/11 - AWAY correction 27/11
  2. West Ham 30/11 - HOME
  3. Aston Villa 4/12 - HOME
  4. Everton 7/12 - AWAY
  5. Lile - UEFA 10/12 - HOME
  6. Bournemouth 14/12 - HOME
  7. Tottenham 22/12 - AWAY - Krisimasi ngumu hapa
  8. Southampton 26/12 - HOME- hapa tutakula mwaka mpya vizuri
  9. Arsenal 29/12 - AWAY - hapa tutakula nyama choma na ugali murua na mwaka mpya utaenda vizuri sana
Apa naona ushindi mwanzo mwisho ..sioni wa kutuzuia apo..

Kila la kheri Chelsea
 
Hivi kwa ubora huu wa hizi timu kumi unadhani huu mpangilio wangu una ukweli. No 5 sijui nana mwenye uwezo wa kukaa pale
  1. Liverpool
  2. Man City
  3. Chelsea
  4. Leicester City
  5. Arsenal/Man United/Wolves/Tot/Sheff Utd/Burnley
 
Ng'olo Kante mwaka jana aliwanyuka Man City katika kumbikiri 2-0 na mwaka huu tena kawalamba Man City, usijitekenye huku unacheka mwenyewe we kilaza

Mkuu ushabik isikutoe ufahamu. Mimi ni mshabiki wa chelsea tena zaidi unavyozani. Nimeandika mtazamo wangu. Jaribu kuelewa kilichoandikwa na si kukurupuka na kutokwa na kamasi mdomoni.🤪🤪
 
Hivi kwa ubora huu wa hizi timu kumi unadhani huu mpangilio wangu una ukweli. No 5 sijui nana mwenye uwezo wa kukaa pale
  1. Liverpool
  2. Man City
  3. Chelsea
  4. Leicester City
  5. Arsenal/Man United/Wolves/Tot/Sheff Utd/Burnley

Naona umempachua Leicester hapo alipo nankujiweka juu yake?
 
Maoni maoni ya wenye timu kule Uingereza baada ya mechi ya Man City
As a Chelsea supporter I would say we are doing far better than I expected. We have a team of young lads who are still learning and will improve given time. No-one with any common sense would have expected them to beat top teams yet, they are still getting used to playing together. Frank and the boys are doing well and any real Chelsea supporter will give them time and understanding.

Nobody denies that this young team playing well, but Zouma and Tomori together are very nervous wich transfers to Kepa as well. Chelsea need Rudiger with huge experience and Tomori should get some minutes during substitution. He is great potential but too young for starter at the Team like Chelsea!
Wow, before the season started every pundit were saying that Chelsea would not be in the top 4. Now all of a sudden so much is expected from them. As a Chelsea fan top 4 would be amazing but im not expecting that. The media should go back to giving Spurs and Arsenal grief, Spurs let in 2 goals after being 3-0 up. Were a new young team with a new manager, stop with the pressure!
People are forgetting that most of these so called experts had us outside of the top 4, many had us outside top 6 and some even midtable or worse. Most didnt think we would get out of cl group. Most thought we had a massive rebuild and were much further from competing at the top in and around a title race. We can get out of the group. We can finish top 4. We aren't in the title race but we are right there with city and Leicester. We need a left back. I'd like to see of this Cb pairing can improve before we spend there. Esp with rudiger possibly returning from injury sometime in the next century. We can and probably should get ake though. We need 2 wingers to replace Willian and pedro who are both likely off. Seems pedro is going to atl. But chelsea and improving and doing much better than most predicted.
Dont know what hes on about.. they lost to one of the best teams in Europe after a decent showing.. buying new players is not always the solution.. the team just needs time.. I personally hope that the ban sticks for a while.. and with Rudiger or Christensen back in the side the defence should start to be more solid.. or even using Azpi in the CB role will stabalize the backline..? its worked before..
The CB's were not the issue against City. Their first goal was a deflection off the bottom of a boot. Kepa had the shot covered until it took that deflection. The second was god awful defending by Emerson who didn't close down the space and let Mahrez walk past him
 
Pointi nyingi huwa zinapatikana kwa kuzipiga hizi mid-table na bottom-table teams
Man City wameshindwa kumkuta Liverpool kwa sababu ya kushindwa kuchukua point kwa baadhi ya hizo timu.
Wao Liverpool wanachukua point kotekote na ndio maana wako mbali.
Chelsea imeshaproove kuwa na uwezo wa kuchukua point kwa hizo timu za katikati na chini kasoro tu top 6, tumeshapoteza kwa mechi tatu za top six bado ziko mechi 7 na hatutaweza kupoteza zote
Tukianza na Tot, tutakuja kwa Arsenal na baadaye tutaanza marudiano
Tutabagain kisawasawa
 
Umfunge Arsenal Emirate?? Safari njema.

CC: DullyJr
Ukisikia daydream ndio hii sasa alishasahau kuwa tulimteketeza 2 kavu msimu ulioisha hapo Emarate na akitoka chupuchupu pale daraja la biskuti baada ya kupigwa ile comeback kali kabisa ya 1st half...
Emarate ni kaburi la wagagagigikoko like Chelsea wakija lazma wazikwe....

Atulie
 
NEXT
  1. Valencia - UEFA - 2/11 - AWAY correction 27/11
  2. West Ham 30/11 - HOME
  3. Aston Villa 4/12 - HOME
  4. Everton 7/12 - AWAY
  5. Lile - UEFA 10/12 - HOME
  6. Bournemouth 14/12 - HOME
  7. Tottenham 22/12 - AWAY - Krisimasi ngumu hapa
  8. Southampton 26/12 - HOME- hapa tutakula mwaka mpya vizuri
  9. Arsenal 29/12 - AWAY - hapa tutakula nyama choma na ugali murua na mwaka mpya utaenda vizuri sana
Jiandae kula mchemsho wa kande kwa game ya Bournaboys,Totts,Everton na Gunnerz....

Hifadhi hii comments huku tukiomba uzima na afya njema..
 
Wewe hujaelewa kitu, kuna mashabiki humu wanajifanya Chelsea huku wakiishambulia timu na mashabiki halali wa Chelsea
Acheni hizo kwahiyo ukishakuwa shabiki inabidi uwe kipofu???kwa mfano kule Unai anazingua tumkingie kifua??
Timu ikifanya vibaya unaisifia tu....labda niwe sielewi maana ya ushabiki ni nini?ila daima mitazamo haiwezi fanana...kipindi wewe unaona Chelsea bora yupo mwingine anaona Leicester bora kuliko Chelsea na ana factors za kusema hivyo,ndio haya yanatokea kule Liverpool,wengine wanaona Henderson captain wa hovyo na wengine wanaona ANASTABLELIZE timu,

Ukirudi united wengine wanaona LINGALDinho wa hovyo lakini wapo wanaomwangalia kwa JICHO LA TATU wanasema ni mchezaji bora kabisa akiwa HANA MPIRA......

amini kwamba huwezi kujua vyote na ndio maana hizi Platfoms zimewekwa kama darasa ili kupata views kupitia mijadala mbalimbali,usichokijua wewe mwenzio anakijua ,na asichokijua yeye wewe unakijua.....

USIJIFUNGIE KATIKA BOX LA FIKRA


AMKA.
 
Hii unakufa mchana kweupeeeee peeee
Valencia hajawahi kumfunga chelsea nyumbani kwake...

Halafu siku hawatopaki basi sababu nao wanatamani kwenda 16 bora. Wakishafunguka tu biashara lazima iwakate...

Halafu Barkley hatokuwepo... aiseee wajipange...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom