Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,935
- 27,196
Wawalipe tu hakuna namna odoi analipwa vizuri kuliko front three wa LiverpoolTammy anataka mshahara sawa na Odoi. 180k, mazungumzo yamesimama kwanza kufocus kwenye usajili January. View attachment 1308292
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kuhesabu kwenye miaka husianze na mwaka huo anzia na mwaka unafuata
Kuna mwamba amejibu pale juu... ni misimu 10 na siyo hizo range wanazoweka wadau. Yaani tunacount 2009/2010, 2010/2011, ... na siyo 2009, 2010, ...
Kwani wewe kwenye mwaka wako wa kuzaliwa unaanza kuhesabu kwenye mwaka uliozaliwa au unaofuataUkitaka kuhesabu kwenye miaka husianze na mwaka huo anzia na mwaka unafuata
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi namuunga mkono hao wajinga wanampa kijana bado bishoo mshahara mkubwa hivyo ili akae benchiTammy anataka mshahara sawa na Odoi. 180k, mazungumzo yamesimama kwanza kufocus kwenye usajili January. View attachment 1308292
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wote hawakukaa sana labda BalackWanavyosema kikosi cha decade ni miaka 10. Ina maana ni wachezaji waliokuwa bora ndani ya hiyo miaka 10 (2009-2019). Hata kama aliwasha moto mwaka 1?
Najaribu kufikiria ivanovic vs Azipuleta ndani ya hiyo miaka 10 nani alikuwa bora sana.
Kuna walioachwa kikosini
Fabrigas
Balack
Juan Mata
Sent using Jamii Forums mobile app
Namna rahisi ya kujua mchezaji anayeweza kuinghia kwenye team of the decade kwa maana ya 2010-2019 ni kwanza kuchunguza team ya 2012 iliyochukua UEFA halafu timu iliyochukua EPL 2014 na 2017. Pia na wale walioshiriki kuchukua EUROPA zotre mbili. Wale waliotokeza kuwa wachezaji bora kwa kujirudia rudia ndio priority pointInanovic katika peak yake amefanya mambo makubwa kuliko kuliko Azplicueta akiwa katika peak....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hesabu zimekupiga chenga hapo ukubali
Hesabu zimekupiga chenga hapo ukubali
Kwenye kuhesabu, 2010 na 2019 ziko included, sasa we hesabu kwa vidolke
Huyu bishoo odoi anakula pesa zetu bure tuTammy anataka mshahara sawa na Odoi. 180k, mazungumzo yamesimama kwanza kufocus kwenye usajili January. View attachment 1308292
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umemsaha yule muisrael GrantChelsea managers/head coaches during the decade
Carlo Ancelotti
Andre Villas-Boas
Roberto Di Matteo
Rafael Benitez
Jose Mourinho
Guus Hiddink
Antonio Conte
Maurizio Sarri
Frank Lampard
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa anaitwa avram grant aliifundisha chelsea kuanzia 2007-2008 kama kocha mkuu
2019-2009=10Kuna mwamba amejibu pale juu... ni misimu 10 na siyo hizo range wanazoweka wadau. Yaani tunacount 2009/2010, 2010/2011, ... na siyo 2009, 2010, ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Best EPL team of the decade. CHELSEAChelsea trophies won in the decade
3 Premier Leagues
1 Champions League
2 Europa Leagues
3 FA Cups
1 League Cup
Sent using Jamii Forums mobile app



Isco na Countinho sio goo option kwetuSikua na maana ya kuwategemea madogo peke yake maana yangu ilikua ujio wa wote wawili Isco na Coutinho ni sawa na kazi bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka wa kuzaliwa ni tofauti na msimu wa ligi. 2009-2019 ni m iaka 11Kwani wewe kwenye mwaka wako wa kuzaliwa unaanza kuhesabu kwenye mwaka uliozaliwa au unaofuataUkitaka kuhesabu kwenye miaka husianze na mwaka huo anzia na mwaka unafuata
Sent using Jamii Forums mobile app