Kyatile
JF-Expert Member
- Feb 5, 2017
- 1,736
- 1,582
Messi ni level nyingine hapa duniani. Usimfananishe na wachezaji wengine. Itaichukua dunia hata miaka 20 kuja kumpata Messi mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Messi ni level nyingine hapa duniani. Usimfananishe na wachezaji wengine. Itaichukua dunia hata miaka 20 kuja kumpata Messi mwingine
Chelsea hatuwezi cheza mipira ya juu saiv. Me sijui wanaosajili wanaangalia nini. Hata kwenye kufunga ni hivohivo.Ila wadau tunahitaji mabeki warefu, mipira ya free kick na kona tunafungwa sana.
Sasa sijui ni ufupi wa Alonso, Emason Na tomori au tatizo ni poor marking? Kwa sababu Zouma na Rudger ni warefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello Daemusin
Haya maoni niliyaleta kwa mfumo wa maoni kwa maana kwamba nina elimu ndogo kwenye kujua uhalisia wa kutengeneza nafasi (creating chances) hasa ina maana gani. Nikipata uelewa mkubwa zaidi nitaboresha mchango wangu. Lakini kwa sasa bado naamini kuwa mshika dau mkubwa kwenye kutengeneza nafasi ni yule aliyeko mbele, huyu wa nyuma ni mdau mdogo kwa sababu process nzima ya kutengeneza nafsi ni mawasiliano ya watu wawili au watatu au saa nyingine wane ili move ya kufunga goli ifanikiwe lazima mmoja aanze kutengenza box, process ikaendelea kwa mfumo huo. Kwa hiyo kuna mawasiliano ambayo ni element kubwa kwenye kutengeneza nafasi. Mimi sio mtaalamu wa mpira uzoefu ni kwa kuangalia na kufuatilia tu. Kuna waliosomea humu labda wao wakiona haya mazungumzo wataboresha
Carvalho,ivanovic walikuwa wafupi but stil mipira ya juu walikuwa wanaweza kuchezaChelsea hatuwezi cheza mipira ya juu saiv. Me sijui wanaosajili wanaangalia nini. Hata kwenye kufunga ni hivohivo.
Miaka ya zamani unakuta kuna Terry Ivanovic na Drogba. Ilikuwa zikipigwa kona hata 3 tu manakaa standby maana lolote linaweza kutokea.
Saiv tumekuwa wadwanzi.
Hamna goals za vichwa wala mashuti ya mbali...
Sent using Jamii Forums mobile app
Haikuchukua hata miaka mitatu Maradona kutokea baada ya Pele kutundika dalugaMessi ni level nyingine hapa duniani. Usimfananishe na wachezaji wengine. Itaichukua dunia hata miaka 20 kuja kumpata Messi mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Haikuchukua hata miaka mitatu Maradona kutokea baada ya Pele kutundika daluga
Ilichukua miaka 10 Messi kutokea baada ya Maradona, Kuna kila dalili kuwa muda wowote messi mwingine atatokea kwa sababu aliyemleta Messi Duniani ni Mungu na huyo huyo Mungu atawaleta akina Mesi wengine muda sio mrefu
Lakini tuliwafunga, nayo comeback ni ufundiLampardna waingereza yaani anachosha hivi anachompendea Abraham ni nini mtu mwepesi kama buu la muhindi,halafu Hana kikosi cha kwanza mpaka leo ,hivi raundi inaisha hajui Nani anafaa kuwa kwenye chaguo la kwanza yaani anahisi ligi ya EPL ni ya ukikaribia!akitaka timu ifanye vizuri inabidi achanganye vijana na wazee wenye uzoefu sasa kila mechi unaona watu watatu wapya ,hivi kwa mfano anasababu Gani ya kumweka Alonzo benchi!Mimi kwa maoni yangu lampard bado hawezi kumudu kufundisha timu kubwa kama Chelsea mwezi wa pili tuna mechi na bayernmunich hivi tutachomoka kweli kwa mbinu hizi za ufundishaji maana mechi ya Jana asernal walitushika tukashikika kiufundi tulikwama sana.
Sijui hata nini kinafanyika kuona hayo yote yanakuwa solvedCarvalho,ivanovic walikuwa wafupi but stil mipira ya juu walikuwa wanaweza kucheza
Saiz wachezaj wet ni wazembe kwenye mipira ya juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchezo wampira nisanaa,usishangae lampard pamoja alizecha mpira unaodai leo hautumii kama kochaChelsea hatuwezi cheza mipira ya juu saiv. Me sijui wanaosajili wanaangalia nini. Hata kwenye kufunga ni hivohivo.
Miaka ya zamani unakuta kuna Terry Ivanovic na Drogba. Ilikuwa zikipigwa kona hata 3 tu manakaa standby maana lolote linaweza kutokea.
Saiv tumekuwa wadwanzi.
Hamna goals za vichwa wala mashuti ya mbali...
Sent using Jamii Forums mobile app
Zouma, Rudger, Tammy wajifunze kuruka na kupiga vichwa vikali (Kuokoa na kufunga).
Mount, pulisic, Jognho, odoi, Tammy wajifunze kupiga mashuti makali ya mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni shabiki maandazi. Kwamba Alonso ni majeruhi huelewi kabisa.Lampardna waingereza yaani anachosha hivi anachompendea Abraham ni nini mtu mwepesi kama buu la muhindi,halafu Hana kikosi cha kwanza mpaka leo ,hivi raundi inaisha hajui Nani anafaa kuwa kwenye chaguo la kwanza yaani anahisi ligi ya EPL ni ya ukikaribia!akitaka timu ifanye vizuri inabidi achanganye vijana na wazee wenye uzoefu sasa kila mechi unaona watu watatu wapya ,hivi kwa mfano anasababu Gani ya kumweka Alonzo benchi!Mimi kwa maoni yangu lampard bado hawezi kumudu kufundisha timu kubwa kama Chelsea mwezi wa pili tuna mechi na bayernmunich hivi tutachomoka kweli kwa mbinu hizi za ufundishaji maana mechi ya Jana asernal walitushika tukashikika kiufundi tulikwama sana.
Lampardna waingereza yaani anachosha hivi anachompendea Abraham ni nini mtu mwepesi kama buu la muhindi,halafu Hana kikosi cha kwanza mpaka leo ,hivi raundi inaisha hajui Nani anafaa kuwa kwenye chaguo la kwanza yaani anahisi ligi ya EPL ni ya ukikaribia!akitaka timu ifanye vizuri inabidi achanganye vijana na wazee wenye uzoefu sasa kila mechi unaona watu watatu wapya ,hivi kwa mfano anasababu Gani ya kumweka Alonzo benchi!Mimi kwa maoni yangu lampard bado hawezi kumudu kufundisha timu kubwa kama Chelsea mwezi wa pili tuna mechi na bayernmunich hivi tutachomoka kweli kwa mbinu hizi za ufundishaji maana mechi ya Jana asernal walitushika tukashikika kiufundi tulikwama sana.
Lampard ajakuzwa wala kukaa na kocha yeyote kama Arteta ..yeye from footballer to coucher ..halafu unasemaje???




Hivi unaelewa wanaposema timu inajengwa, unadhani ujenzi ni kitendo cha siku moja? Ujenzi ni plans, ujenzi ni progress and process ujenzi unachukua mwaka na kuendelea. Lampard ndio kwanza kamaliza nusu ya msimu halafu unataka awe na kikosi cha kwanza maalumu, how comes? Unaona kila leo anakuja na wachezaji wapya yote ni katika kuunda kikosi kipana na cha muda mrefu. Katika process za ujenzi kuna muda unafika baadhi ya resource zinakua scarce inabidi uvute subira huku mambo mengine yakiendelea same to Lamps amechukua timu hajafanya usajili, tumepoteza mchezaji muhimu kwenye timu halafu unataka mambo yaende sawasawa kweli?Lampardna waingereza yaani anachosha hivi anachompendea Abraham ni nini mtu mwepesi kama buu la muhindi,halafu Hana kikosi cha kwanza mpaka leo ,hivi raundi inaisha hajui Nani anafaa kuwa kwenye chaguo la kwanza yaani anahisi ligi ya EPL ni ya ukikaribia!akitaka timu ifanye vizuri inabidi achanganye vijana na wazee wenye uzoefu sasa kila mechi unaona watu watatu wapya ,hivi kwa mfano anasababu Gani ya kumweka Alonzo benchi!Mimi kwa maoni yangu lampard bado hawezi kumudu kufundisha timu kubwa kama Chelsea mwezi wa pili tuna mechi na bayernmunich hivi tutachomoka kweli kwa mbinu hizi za ufundishaji maana mechi ya Jana asernal walitushika tukashikika kiufundi tulikwama sana.