Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sisi Chelsea tumeupiga mwingi sana leo,Odoi anasepa na kijiji kama Neymar,acha kabisa..Lampard aongezewe mkataba
 
Siyo mbaya tumepata japo point moja,wachezaji watakuwa walilewa Jana tujipange kwa game ijayo,so far draw nzuri tu hii wana Chelsea wenzangu. Long live master coach Frank Lampard
 
Acheni masihara wakuu hii midude inaruhusiwa!! Kwani VAR wanasemaje !? Mana mibao ya hivi ni sehemu ya ukatili. Poleni sana Chelsea wangekuwa wenzenu Liverpool wamepigwa mgoli Wa hivi VAR ingegoma kwa huu ukatili
Jokr of 2020

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Uyo Lampard amekua ndezi sana,, huyu ni small team coach
ivi kwani kuna haja ya kufanya substitution timu ikiwa inacheza vizuri,
Uyu odoi alimtetea kua ametoka majeruhi makubwa that is why anashindwa ku"perform...
Sasa kuna haja gani ya kumchezesha mechi ambazo zina pressure...
Unaongoza goli moja,, timu yakl imeweza ku"handle pressure ya mechi vizuri tuu,, then unafanya substitution ya kipumbavu kabisa..

Poor decision by Lampard



Sent using Jamii Forums mobile app
kwakwel hii sub ckuifirahia kabisa kabugi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hongereni sana kwa kuibuka na point mechi ya ugenini though mikeka mmechana mbaya
 
Acha kuwa ndezi... kabla ya dakika ya 34 ndio mlicheza mpira... Baada ya hiyo dakika ya 34 ambayo joginho aliingia mlipigwa sana msako...
Alafu wewe achaga mapenzi ya hovyohovyo....first half Arsenal walikamata na kina kante walipoteana mazima ila 2nd half mukarudi vizuri....

Kwanza hiyo game ishapita vipi huko Brighton nasikia mumekimbia chupi mkononi....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu zote zenye kiherehere ya kutukaribia kwa point zimepigwa
Hongera sana

  1. Southampton
  2. Arsenal
  3. Watford
  4. Liverpool**
**na leo ofcourse kama kawa shukrani kwa Liverpool kwa sababu mtaifunga Sheffield United
GAP bado ni point 5 kutoka umbali Man U ilipo na watapambana sana
 
Lampard asema hana mpango na Wilfred Zaha

“I won’t talk about him because he’s not in our plans. If we have to do business, we will do it behind closed doors aside to announcing who I want to bring in.”
 
Wewe jamaa unaongeaga point sana
Tatizo la Chelsea sio striker
timu zote zinazofunga magoli mengi utakuta striker, wingas na attacking midfields wanafunga kwa kushindana
waangalie Liverpool na mancity
Tusimtishe mzigo mkubwaTammy
Man city
Aguero striker ana magoli 10
Stearling winga 11
De bruyne MF 7
Gabriel jesus goli 6
jumla 34
Liverpool
Sadio Mane winga 10
MO Salah winga/striker 9
Firmino 6
Jumla 25
Ukija Chelsea ni Tam,my tu ana 12
Wanaofuata
Mount 5 na
Willian 4
Jumla goli 21
Kwa hiyo tunatakiwa kusajili zaidi wingas na midfield aina ya akina lampard wa kutupa double dijit kwenye magoli na assists

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jambo jingine tunashindwa kumaliza gemu mapema wakati tunayo fursa at the same time hatuna uwezo wa kushinda moja bila maama defence yetu ni mbovu ,hii team kama inapaswa ule chakula kabisa ndio uiangalie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom