Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mie shabiki wa Manchester united. GIF za magoli huwa naweka kila uzi wa magoli ya timu husika
Kumbe wewe ni mpenzi wa Chelsea Kama me naona kwenye mpira tunaenda sawa ukufanya makosa kushabikia Chelsea timu yenye mafanikio.
 
Timu zote zenye kiherehere ya kutukaribia kwa point zimepigwa
Hongera sana

  1. Southampton
  2. Arsenal
  3. Watford
  4. Liverpool**
**na leo ofcourse kama kawa shukrani kwa Liverpool kwa sababu mtaifunga Sheffield United
GAP bado ni point 5 kutoka umbali Man U ilipo na watapambana sana
Wao huwa wanatuombea njaa na wakati hawalimi kabisa. Wachovu wa fikra

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mbona hasemi watu gani anawataka? Alituma scouts kipindi flan wakamuangalie Savic yule wa Lazio sijui hata iliishiaje?
Lampard asema hana mpango na Wilfred Zaha

“I won’t talk about him because he’s not in our plans. If we have to do business, we will do it behind closed doors aside to announcing who I want to bring in.”

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Eriksen mou anaweza akamshawish aongeze mkataba. Af msimu msimu ujao spurs wanaweza wakawa wa moto sana. Mou namuelewa sana kwenye usajili.
Players with 6 months left on their contract:

Christian Eriksen
Willian
Edinson Cavani
Thomas Meunier
Ryan Fraser
Dries Mertens
Eric Bailly
Nemanja Matic
Mario Götze
José Callejón
Pedro
Blaise Matuidi
Jan Vertonghen
David Silva
Luka Modrić
Adam Lallana

(Source: transfermarkt)

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
even you put puyol, van dijk, ramos, in our defend, if attacking can't score, what for? What we need is, goal. If we can create more change for goal, that more better. Defend now I can say just ok. Not that worst & weak. Problem to solve is attacking, playmaker.

Haya maoni ya wadau yananifurahisha sana. Wengi wamefahamu tatizo liko wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo aliyesema hivyo namuunga mkono
Tuwe na Midfields kama akina Fabregas au Hazard wingas kama akina Hazard, Mane, Stealing Debruyne na hao wengineo ambao ni goal machine. Tuondokane na kuwategemea akina Willian, Mount Kovacic (sijasema wabaya). Kante alitakiwa acheze namba moja na Jorgino ili tuwasajilia attacking midfield ambao ni wafungaji na wenye kutoa assists nyingi kama Fabregas/Hazard baada ya hapo ndio tuwaangalie Defenders japo na wasiwasi tukisajili MF wazuri defenders unaweza shangaa wakawa wazuri. Leo hii defenders wetu not protected na DM
 
According to the Express, Chelsea are planning a move for young CSKA Moscow striker Fyodor Chalov this month as Frank Lampard seeks to bolster his side for the second half of the season.

The paper reports the Blues are plotting a £20million January move for the Russian after postponing plans to sign Timo Werner from RB Leipzig and Moussa Dembele from Lyon.



Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo timo werner ikifika mwezi wa 6 mwenye kisu kikali ndio atakayekula nyama...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani mmeona mchezaji wenu wa 12 wiki iliyopita alichofanywa..... Japo hamuwezi lizungumzia hilo,ila ushindi wenu ulikuwa wa mashaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom