Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ila ninawasiwasi hili dili linaweza lisitokee kama tulishindwa kumsajili yule kipa wa AC MILAN sidhani litatokea ni Kama vile management inalazimiahwa wangekuwa tayari kwenye hili wangefanyia usajili mapema
Hili ni Alonso mwenyewe ndiye anataka, itashindikana tu kama Emiliano atakuwa na matatizo ya kiafya
1787848547108.png
 
Ila ninawasiwasi hili dili linaweza lisitokee kama tulishindwa kumsajili yule kipa wa AC MILAN sidhani litatokea ni Kama vile management inalazimiahwa wangekuwa tayari kwenye hili wangefanya usajili mapema,
Ni kweli kuna taarifa zingine zinadai bado Chelsea hawajafanya maamuzi na kikwazo kikubwa ni hadi wapate ufumbuzi wa Robert Sanchez. Ikipatikana timu ambayo itamtaka hata kwa mkopo wanaweza kumchukua Emiliano Martinez
 
Saa tatu na nusu
Chelsea vs Luton - Carabao Cup second round
Watu walishavumisha Lavia kapata majeraha,
Aaron Anselmino na Emanuel Emegah wamerudi kutoka majeruhi,
Levi Colwill hayupo kabisa,
Moises Caicedo, Pedro Neto na Enzo Fernandez OUT!
Jordan Henderson naye bado anakula pension,
Giovani Quenda yuko wapi?
Marcos Palestra?


1787851264954.png
 
Ila ninawasiwasi hili dili linaweza lisitokee kama tulishindwa kumsajili yule kipa wa AC MILAN sidhani litatokea ni Kama vile management inalazimiahwa wangekuwa tayari kwenye hili wangefanya usajili mapema
Tayari huko
Dibu Emiliano Martinez ni mchezaji wa Chelsea
Mkataba wa miaka miwili sio mbaya
Kwa pauni milioni 7.5 sio mbaya pia
1787856698662.png
 
Faida ya kusajili Quality players inafanya hata wengine waboost uwezo wao ujio wa Lacroix umeimalisha sana safu ya ulinzi kabisa Leo hii Acheampong kawa mnyama vibaya mno hata huko Fofana anaona anakazi nzito na balaa zaidi itaongezeka ni pale James akirudishwa RCB ushindani utakuwa mkubwa sana.
 
Sababu ni Nini?
Xabi amesema baada ya mechi kuwa YEye na uongozi ndio walioamua Enzo Asicheze. Sababu ni asipatwe na majeruhi akatuvurugia dilim la milion 140. Lakini pia Enzo akili yake haiko tena Chelsea amekuwa kama Julian Alvarez wa Atletico Madrid.
 
Xabi amesema baada ya mechi kuwa YEye na uongozi ndio walioamua Enzo Asicheze. Sababu ni asipatwe na majeruhi akatuvurugia dilim la milion 140. Lakini pia Enzo akili yake haiko tena Chelsea amekuwa kama Julian Alvarez wa Atletico Madrid.
kwann man city wanachelewesha mpunga wetu na wana hela nyingi sana hawa wantaka tufanye bishara deadline tukose mbadala?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom