Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Naona umeleta statistics za first half pekee. Ngoja mimi nikuletee za match nzima.Hivi nyinyi raia wa humu kwanini mnakuwa wabishi,mnabishana na uhalisia,ndio maana mnaambiwa humu mumejijaza vitoto vya u20View attachment 1256308
View attachment 1256339[/QUOTE]Sasa hivyo vi% si muliongeza baada ya mlungula kutembea mkawapunguza kwa red za mazabe na matuta ya kuungaunga lasivyo mlikuwa mnakufa 7 hapo daraja la mabua.....

Wewe mwenywe unajua ila unafanya kusudi
 
Ya kesho hakuna hayajuaye, ila kwa maneno yako haya inaonesha umeshanyoosha mikono na kusubiri la kutokea huko mbeleni
Mechi ngapi mpaka sasa hivi???
Na bado game ngap msimu uishe???tatizo mna kiherehere soka ni mchezo wa hadharani so vuteni subra ili may tuje kutoa hitimisho
 
£350M ni kiasi cha pesa kwa ajili ya usajili. Kiasi hicho kimetokana na mauzo ya Eden Hazard, Alvaro Morata na wachezaji wengine + mapato ya Epl + Uefa champion 2018/2019.

Lampard kazi kwako.

Kwahiyo Miongozo ya Chelsea inasema Pesa zinazopatikana kwa Mauzo ya Wachezaji, Mapato ya EPL na ya CL zote hazitumiwi bali zinahifadhiwa kwa ajili ya usajili?

Kuna mambo mengine muwe realistic sio muandike tu
 
France National Team
Wacezaji watatu wa Chelsea waitwa ila kocha amefall in love na Giroud kila timu ikiitwa jamaa yumo

GOALKEEPERS: Steve Mandanda (Marseille), Alphonse Areola (Real Madrid), Mike Maignan (Lille)

DEFENDERS: Benjamin Pavard (Bayern Munich), Raphaël Varane (Real Madrid), Clément Lenglet (Barcelona), Léo Dubois (Lyon), Presnel Kimpembe (PSG), Kurt Zouma (Chelsea), Benjamin Mendy (Manchester City), Lucas Digne (Everton)

MIDFIELDERS: Corentin Tolisso (Bayern Munich), Blaise Matuidi (Juventus), Moussa Sissoko (Tottenham Hotspur), Tanguy Ndombele (Tottenham Hotspur), N’Golo Kanté (Chelsea)

FORWARDS: Olivier Giroud (Chelsea), Antoine Griezmann (Barcelona), Kylian Mbappé (PSG), Thomas Lemar (Atletico Madrid), Nabil Fékir (Real Betis), Kingsley Coman (Bayern Munich)
 
MADRID GOAL 6.

Hazard No assist
Hazard No Goal
Rodrygo Hatrick

January waturudishie HAZARD wetu kwa mkopo.
Ila ktk mchezo huo nadhani Hazard alikuwa ndie man of the match, sikuangalia yote lakini niliangalia dakika kama 10 za mwishoni na watanganzaji walikuwa wakimtaja kuwa ndie man of the match. Bado quality ya Hazard iko pale pale hata kama hajafunga au hana assists. Anajua kuwachezesha wenzake kule mbele na kucreate chances
. NO, nadhani nimechanganya ni ule wa ligi ambapo RM ilishinda 5-0
 
Indication ya kumzidi mpizani wako ni anapocheza rafu angalia statistics za bookings ajax wanacheza rafu tena zenye kuzuia movement za hatari.Narudia kusema Chelsea hii itakunyima appetite

Hivi nyinyi raia wa humu kwanini mnakuwa wabishi,mnabishana na uhalisia,ndio maana mnaambiwa humu mumejijaza vitoto vya u20View attachment 1256308
Umechukua segment ipi, leta stats zote. Chelsea waliwazidi kila idara kipindi cha pili na ndio iliyoleta madhara mpaka zile fouls.
 
Kumbe Chelsea akimfunga Valencia hata goli moja tu watakuwa wamepita kwenye makundi kwa sababu hata Chelsea akifungwa mechi ya mwisho na Valencia akashinda dhidi ya Ajax tutarudi kwenye point 10 kila mmoja na Chelsea atakuwa na advantage dhidi ya Ajax na Valencia kwa H2H results
 
Amini nawaambia mganga wa Barkley atafutwe. Huyu anaweza kutuliza maswala ya Brexit kati ya UK na UN.
IMG_20191108_064049_017.jpeg
 
Kumbe Chelsea akimfunga Valencia hata goli moja tu watakuwa wamepita kwenye makundi kwa sababu hata Chelsea akifungwa mechi ya mwisho na Valencia akashinda dhidi ya Ajax tutarudi kwenye point 10 kila mmoja na Chelsea atakuwa na advantage dhidi ya Ajax na Valencia kwa H2H results
Hatuna uhakika kama Valencia atamfunga ajax. Lazima tutafute ushindi hiyo mechi na Valencia.
 
Kumbe Chelsea akimfunga Valencia hata goli moja tu watakuwa wamepita kwenye makundi kwa sababu hata Chelsea akifungwa mechi ya mwisho na Valencia akashinda dhidi ya Ajax tutarudi kwenye point 10 kila mmoja na Chelsea atakuwa na advantage dhidi ya Ajax na Valencia kwa H2H results

Ukitoa Draw na Valencia tu basi umeshasonga mbele kwa GD ya H2H but lazima game ya mwisho na kibonde wenu mushinde ili muwe na point 11

Iwapo utatoa sare na Valencia basi yeyote atakaeshinda kati ya Valencia vs Ajax atasonga mbele hujku ajax akisubiri ajipigie kwa Lille

Game ya Valencia vs Chelsea itabakia kuwa ndiye muamuzi wa mwisho wa Kundi lenu
 
Kumbe Chelsea akimfunga Valencia hata goli moja tu watakuwa wamepita kwenye makundi kwa sababu hata Chelsea akifungwa mechi ya mwisho na Valencia akashinda dhidi ya Ajax tutarudi kwenye point 10 kila mmoja na Chelsea atakuwa na advantage dhidi ya Ajax na Valencia kwa H2H results
Ebu fafanua vizuri sijakuelewa
 
Dah! Unamaanisha inabidi auzwe tutafute forward nyengine ya uhakika
Nakwambia tena ba tena.. kamwe usimuamini batshuati.. labda wewe umeanza kumuangalia msimu huu..

Huyu sio foward wa kumtegemea kabisa...
 
Advantage ya Tammy ndio kwanza anakuwa, Batshuayi alikofikia kiwango hakitapanda sana, Kwa hiyo tunamategemeo kiwango cha Tammy bado kitakuwa anapozidi kupata exposure ya mechi kubwa
Umenena vyema nimekuelewa
 
Wewe sio shabiki wa Chelsea na wala mpira hujui. Batshuayi anajulikana na wanaojua mpira, mpaka Batshuayi sio kaliba ya Chelsea, kumtegemea Batsuayi akupe magoli 9 kwenye mechi 11 ni ndoto za alinacha au hadithi za abunuasi.
Msimu huu Abraham kacheza mechi nyingi sana kuliko batshuay.
Batshuay Muda aliocheza ni mchache pia game nyingi kaingia kuanzia dak ya 80.
Kutegemea awe na goli kuliko Abraham sio sawa.
Mo sarah wakati yupo Chelsea alikuwa anakaa benchi lakini Leo hii unamuona.
Ubora wa mchezaji mwingine haumfanyi mwingine kuwa mbovu.
I'm sure batshuay ni forward nzuri sana, na game ya juzi ilibidi afanye sub ya batshuay mapema ,Abraham game ilikataa.
The blues forever
 
Hazard Don kachemka sana hapo ndiyomaana mi sikupoteza hata muda kumjibu.

Hivi kaliba ya Diego Costa au Didie Drogba uifananishe na Batshuay Makiri Kiri?
Hahaaa ,mpira sio siasa

Game ya ajax Abraham alitakiwa kufanyiwa sub dak ya 70,
Ile game tungeshinda.

Kwa lampard anamtumia sana Abraham kwan anahitaji kuwa na kikosi cha vijana,ndo maana Abraham anapewa nafasi kubwa ili azidi kuwa na experience kubwa Zaidi.
Didier drogba kumleta kwenye mjadala wa Abraham na batshuay sio sawa. Didier ni legend
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom