Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nafasi tatu umeziona wapi wakati hukutazama mpira? Aina ya mashabiki ambao hawaangalii mpira hampaswi kuongea ovyo ovyo
We fala kama una stress zako na madeni ebu kaa mbali na mimi, sikuangalia vipi mpira na nilijuaje kuwa Tammy alikosa vichwa karibuni vi3 badala ya kupiga golini alipiga nnje tu?
 

Huo msimamo wako ni wa CL ya Mbagala Kibonde maji au?

Angalia kwenye Website ya UEFA then ulinganishe na huo mtandao wako wa kuokoteza↓↓


Screenshot_20191106-095813.png
 
Acha kumlinganisha tamy Abraham na vitu vya kijinga jinga
Batshuay ni forward nzuri sana kuliko Tammy ,pia hapewi sana nafasi kama Abraham.
Mo sarah alipokuwa Chelsea alikuwa akipigwa benchi. Kila kocha anamtu wake.
I'm sure mpaka msimu uishe ubora wa batshuay utakuwa ushaonekana.
 
Jamaa anachekesha sana et kakosa magori ya kichwa ya wazi

Sijui kuanzia lini magor ya kichwa yakawa ya wazi
Nafasi tatu umeziona wapi wakati hukutazama mpira? Aina ya mashabiki ambao hawaangalii mpira hampaswi kuongea ovyo ovyo
 
Alonso anatakiwa kuuzwa, hafai falsafa ya Lampard. Anavuta sana miguu na yuko vulnerable kwa faulu za kijinga jinga. Akikosa bei huyo atolewe mkopo ni hatari kwa Chelsea, atatufungisha magoli mengi hasa kwenye big games. Mimi simuamini kabisa. Magoli mengi yanmatokea kwake aidha kwa faulu amama kwa kushinda kumark au kukaba
Kama ambavyo siku zote tunasema timu ikiwa inashambulia lazima utampenda Alonso lakini ikiwa inashambuliwa hapo ndio utajua ubaya wake. Jana hasa kipindi cha kwanza Ajax walimiliki mpira zaidi yetu na ndio hapo Ziyech akapata chocho la kupitia ule upande kama angekuwepo Emerson nahisi ndio mchezaji ambaye angeondoka na Interceptions nyingi. Alonso jana game ilikua kubwa kuliko yeye.
 
Wewe jamaa ivi mipira ya vichwa unaijua vizur kweli wewe

Ushawahi kucheza mpira?
We fala kama una stress zako na madeni ebu kaa mbali na mimi, sikuangalia vipi mpira na nilijuaje kuwa Tammy alikosa vichwa karibuni vi3 badala ya kupiga golini alipiga nnje tu?
 
Hii ni UEFA sio EPL, Chelsea anaongoza hata kama timu tatu zimefungana kwa pts 7

Acha ubishi Mimi kwenye soka sikoseagi kwa asili <70% hata Siku moja.

AJAX ANAONGOZA KUNDI LENU

Hapo tukiangalia H2H

• Valencia kamfunga Chelsea → Chelsea kwenye msimamo hawezi kuwa juu ya Valencia

• Chelsea kamfunga Ajax → Ajax hawezi kwenye msimamo hawezi kuwa juu ya Chelsea

• Ajax kamfunga Valencia → Ajax kwenye msimamo hawezi kuwa juu ya Chelsea

Sasa hapo ukiangalia sheria ya H2H
√ Ajax anaweza kuwa juu ya Valencia
√ Valencia anaweza kuwa juu ya Chelsea
√ Chelsea anaweza kuwa juu ya Ajax

Lakini:
• Chelsea hawezi kuwa juu ya Ajax, kwasababu ili awe juu ya ajax ni lazima awe juu ya Valencia jambo ambalo haiwezekani kuwa juu ya Valencia due to H2H

• Valencia hawezi kuwa juu ya Chelsea kwasababu ili awe juu ya Chelsea ni lazima awe juu ya Ajax jambo ambalo haliwezekani due tu H2H

• Ajax Hawezi kuwa Juu ya Valencia kwasababu ili awe juu ya Valencia ni lazima awe juu ya Chelsea jambo ambalo haliwezekani due to H2H

Kutokana na kufungana kisheria kwenye H2H Ajax ndiyo kapata Fursa ya kuongoza ligi kwa magoli ya Kufunga kwani alimpiga Valencia 3 Jambo ambalo katika nyinyi Watatu kufungana ni yeye pekee ndiye aliyepata ushindi wa goli 3
 
Hahah ila kama UEFA wanaangalia H2H basi chelsea alipaswa kuongoza kundi. Sema siyo case chance ya kupita bado ipo. Nina imani chelsea itafanya vzr ugenini kama kawaida yake.

Hapo tukiangalia H2H

• Valencia kamfunga Chelsea → Chelsea kwenye msimamo hawezi kuwa juu ya Valencia

• Chelsea kamfunga Ajax → Ajax hawezi kwenye msimamo hawezi kuwa juu ya Chelsea

• Ajax kamfunga Valencia → Ajax kwenye msimamo hawezi kuwa juu ya Chelsea

Sasa hapo ukiangalia sheria ya H2H
√ Ajax anaweza kuwa juu ya Valencia
√ Valencia anaweza kuwa juu ya Chelsea
√ Chelsea anaweza kuwa juu ya Ajax

Lakini:
• Chelsea hawezi kuwa juu ya Ajax, kwasababu ili awe juu ya ajax ni lazima awe juu ya Valencia jambo ambalo haiwezekani kuwa juu ya Valencia due to H2H

• Valencia hawezi kuwa juu ya Chelsea kwasababu ili awe juu ya Chelsea ni lazima awe juu ya Ajax jambo ambalo haliwezekani due tu H2H

• Ajax Hawezi kuwa Juu ya Valencia kwasababu ili awe juu ya Valencia ni lazima awe juu ya Chelsea jambo ambalo haliwezekani due to H2H

Kutokana na kufungana kisheria kwenye H2H Ajax ndiyo kapata Fursa ya kuongoza ligi kwa magoli ya Kufunga kwani alimpiga Valencia 3 Jambo ambalo katika nyinyi Watatu kufungana ni yeye pekee ndiye aliyepata ushindi wa goli 3
 
Ndio maana jana nilisema lazima tusajili mbadala wake wa kusaidiana na Emerson. Alonso apangwe baadhi ya match zitakazohitaji mfumo wa 3-5-3
Nilichoona jana Alonso akicheza winger anakuwa mzuri sana, hata Reece James amechangamka kule mbele kuliko nyuma. Kwa hiyo mimi naona wangesajili striker na LB na RB tu ili Reece atumike Zaidi kwenye winger
 
Jana kapoteza vichwa karibia vitatu vya wazi kabisa, Tammy si wa kumtegemea sana katika mechi ngumu 7bu bado ni mteke sana.

Abraham angekuwa mkomavu kama Batshuay wala nisingesapoti kuwaza usajili wa striker mwingine.
Advantage ya Tammy ndio kwanza anakuwa, Batshuayi alikofikia kiwango hakitapanda sana, Kwa hiyo tunamategemeo kiwango cha Tammy bado kitakuwa anapozidi kupata exposure ya mechi kubwa
 
Umenikosea heshima

Kuna Mtu aliuliza swali kuwa kaona Makala nyingi zinasema Ajax kaonewa akata kujua sababu kwanini wanacomplain kuonewa (Nadhani hakuangalia game).

Mimi Nikamjibu wanalalamika kwa sababu ya 'Red Cards' mbili.

Nilimjibu kiufupi

The rest sihusiki na ufahamu wako juu ya kile nilichokiandika
Hizo red cards zilikuwa halali kabisa, ujinga wao ndio umewagharimu. Wachezaji wazoefu na wa kutegemewa wanacheza faulu za kijingajinga. Hata watangazaji waliliongelea sana hilo. Hao ndio wakongwe wa Ajax, wanajua dynamics za mechi kubwa kama hizi halafu wao wanacheza rafu za kijinga jinga. Refa haangalii hata akibaki kipa tu wote watapewa red kama walistahili. Mfano huyo aliyedaka mpira anitwa Joel Vetman huo mpira haukuwa na madhara yeyote ili yeye akauzuia kwa makusudi Katika eneo la hatari kama lile
Na huyo mwingine Daley Blind kawafanyia rafu Kovacic na Tammy kwa scnerio moja, they deserved red cards wakainyima timu yao point tatu muhimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom