njoo kwetu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 801
- 1,798
Tushakwambia hujui mpira au umeanza kuangalia mpira msimu huu...
Kamwe usimuamin batshuayi,huyu jamaa ukimtegema utamchukia sana tena sana... ana matatizo mengi sana, kwanza contorl ya mpira ni ndogo, kujiposition bado ni week, vile vile ni mchoyo sana..
Kamwe usimuamin batshuayi,huyu jamaa ukimtegema utamchukia sana tena sana... ana matatizo mengi sana, kwanza contorl ya mpira ni ndogo, kujiposition bado ni week, vile vile ni mchoyo sana..
Msimu huu Abraham kacheza mechi nyingi sana kuliko batshuay.
Batshuay Muda aliocheza ni mchache pia game nyingi kaingia kuanzia dak ya 80.
Kutegemea awe na goli kuliko Abraham sio sawa.
Mo sarah wakati yupo Chelsea alikuwa anakaa benchi lakini Leo hii unamuona.
Ubora wa mchezaji mwingine haumfanyi mwingine kuwa mbovu.
I'm sure batshuay ni forward nzuri sana, na game ya juzi ilibidi afanye sub ya batshuay mapema ,Abraham game ilikataa.
The blues forever
