Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mount yuko fit na kawekwas kwenye kikosi cha kupambana na Crystal Palace kesho
 
Marseile mechi 36 goli 17 msimu wa 2015/16
Chelsea wakamchukua wakidhani ataendeleza wembe huo
2016/17 Chelsea mechi 20 goli 5 na assists 1
2017/18 Chelsea mechi 12 goli 2 na assists 1 nusu msimu
January iliyofuata ikabidi akatolewa mkopo akajifunze kwenye timu ndogo
2017/18 Dotmund mechi 10 goli 7 na assists 1 nusu msimu
2018/19 Valencia mechi 15 goli 1 bila ya assists hata moja nusu msimu
Valencia wakamkataa ikabidi Chelsea wampeleke Crystal Palace january
Crystal Palace mechi 11 goli 5 bila ya assists hata moja nusu msimu
Karudi Chelsea
2019/20 mechi 6 goli 1 na asists moja tena hapa kajitahidi kweli kwa sababu anatafuta namba katikati ya Tammy na Giroud, nakuapia Batsuayi angekuwa ni striker asiye na ushindani anaweza pita msimu asifikishe hata goli 10

Kwa herufi kubwa Chelsea haimhitaji Batshuayi, ni striker mzuri lakini anafaa timu ambazo hazina pressure na makombe kama akina Arsenal ya Aroon
7nov2019@Chelsea
tammy-abraham-1.jpeg
michy_batshuayi.jpeg
 
Perez anamtaka tena Aubameyang, hawa RM wanajifanya wanaweza kumnunua kila mchezaji wanayemtaka
 
Tushakwambia hujui mpira au umeanza kuangalia mpira msimu huu...

Kamwe usimuamin batshuayi,huyu jamaa ukimtegema utamchukia sana tena sana... ana matatizo mengi sana, kwanza contorl ya mpira ni ndogo, kujiposition bado ni week, vile vile ni mchoyo sana..
unayejua mpira abraham dak 1177 kwa batshuay dak 237
tammy-abraham-1.jpeg
michy_batshuayi.jpeg
 
Umechambua vizuri sana mkuu. So Abraham anaweza kutupa makombe tunayohitaji?
Marseile mechi 36 goli 17 msimu wa 2015/16
Chelsea wakamchukua wakidhani ataendeleza wembe huo
2016/17 Chelsea mechi 20 goli 5 na assists 1
2017/18 Chelsea mechi 12 goli 2 na assists 1 nusu msimu
January iliyofuata ikabidi akatolewa mkopo akajifunze kwenye timu ndogo
2017/18 Dotmund mechi 10 goli 7 na assists 1 nusu msimu
2018/19 Valencia mechi 15 goli 1 bila ya assists hata moja nusu msimu
Valencia wakamkataa ikabidi Chelsea wampeleke Crystal Palace january
Crystal Palace mechi 11 goli 5 bila ya assists hata moja nusu msimu
Karudi Chelsea
2019/20 mechi 6 goli 1 na asists moja tena hapa kajitahidi kweli kwa sababu anatafuta namba katikati ya Tammy na Giroud, nakuapia Batsuayi angekuwa ni striker asiye na ushindani anaweza pita msimu asifikishe hata goli 10

Kwa herufi kubwa Chelsea haimhitaji Batshuayi, ni striker mzuri lakini anafaa timu ambazo hazina pressure na makombe kama akina Arsenal ya Aroon
 
Arsenal anapata wapi ujasiri wa kucomment kwenye thread ya the blues. Ngoja ifike december tuwashone mdomo labda watauheshimu huu uzi...
Katika Arsenal moja kuna hivi viChelsea kumi
 
Ebu kwanza tukuulize, nje ya msimu huu, ni lini ulimuona batshuayi akicheza ??? Inaweza kuwa hujawah kumuona zamani..

Nyinyi ndio mashabiki wa chelsea mnaoamini kepa ni kipa bora pale wingereza ila kakosa mabeki tu..

Mnapenda chelsea lakin hamjui mpira kabisa.. leo hii ukimuweka batshuayi kwenye mauzo, hafiki hata paund mil 35...
unayejua mpira abraham dak 1177 kwa batshuay dak 237 View attachment 1257977View attachment 1257979
 
Arsenal hiii au ile ya mwaka 2003 ??

Arsenal hii ambayo mnawaza ipo siku pepe atakuwa kama ronaldo ???

Arsenal hii ambayo mnamtegemea martenell kuwaletea mafanikio ??

Arsenal hii ambayo mnataka kusema gundouzi ni bora kuliko kante ??

Arsenal hii ambayo mnataka kuamini xhaka au torrera anaweza kupiga pasi nyingi kuliko joginho ??,

Arsenal hii mabayo mchezaji ambae amekuwa rejected chelsea kaja kwenu kawa tourmaster na kuitangaza club na kumpa namba ya kudumu

Kitu pekee arsenal inaizid chelsea kwa sasa ni historia ya karne ya 20.. ambayo kipindi hko, germany ilikuwa kubwa USA

Katika Arsenal moja kuna hivi viChelsea kumi
 
Arsenal hiii au ile ya mwaka 2003 ??

Arsenal hii ambayo mnawaza ipo siku pepe atakuwa kama ronaldo ???

Arsenal hii ambayo mnamtegemea martenell kuwaletea mafanikio ??

Arsenal hii ambayo mnataka kusema gundouzi ni bora kuliko kante ??

Arsenal hii ambayo mnataka kuamini xhaka au torrera anaweza kupiga pasi nyingi kuliko joginho ??,

Arsenal hii mabayo mchezaji ambae amekuwa rejected chelsea kaja kwenu kawa tourmaster na kuitangaza club na kumpa namba ya kudumu

Kitu pekee arsenal inaizid chelsea kwa sasa ni historia ya karne ya 20.. ambayo kipindi hko, germany ilikuwa kubwa USA
Ngoja december ifike tuwanyooshe ili wakiuona huu uzi waukimbie kama ukoma.
 
Kuna mtu hapa anaitwa King Ngwaba alibishana na mimi juu ya ubora wa Norwich. Niliwaambia hakuna timu yenye defense zembe EPL kuliko Norwich sasa wao ndio wameshika mkia kwa kuchapwa 2-0 na timu ambayo haikuwahi kushinda tangu ligi ianze
Sijui waliwafungaje Man City maana tangu wawafunge Man City hawa jamaa wanabugizwa tu
 
Mechi ya Valencia na Chelsea darajani kuna wakosa makubwa miwili naomba chonde chonde yasijirudie
  1. Kosa la kwanza ni la kumtoa Zouma ili Giroud aingie, hii sub ndio iliyofanya defense ipwaye mpaka tukafungwa goli
  2. Kosa la pili ni la kumpa Ross Barkley apige penalty na akapaiza na kutunyima nafasi ya kupata point tatu au angalau point moja
 
City ni mteja wa Norwich... Kwa hiyo Norwich kushinda mm hata sikushangaa...
Kuna mtu hapa anaitwa King Ngwaba alibishana na mimi juu ya ubora wa Norwich. Niliwaambia hakuna timu yenye defense zembe EPL kuliko Norwich sasa wao ndio wameshika mkia kwa kuchapwa 2-0 na timu ambayo haikuwahi kushinda tangu ligi ianze
Sijui waliwafungaje Man City maana tangu wawafunge Man City hawa jamaa wanabugizwa tu
 
Chelsea vs Ajax
Tammy alisababisha magoli miwili yenye maumivu kwa Chelsea
  1. Kwanza alijifunga goli la kwanza
  2. Pili alinawa mpira kwenye move ya kufunga goli la 5 na la ushindi kwa Chelsea na hivyo VAR ikatunyima hilo goli
Simlaumu ktk umri huo wake tutegemee vitumakosa tudogo tudogo mpaka apate experience. Akishafikisha miaka 23 au 24 akiwa frontline EPL na UEFA Tammy atakuwa sio tu striker mzuri pia ana uwezo mkubwa wa kusadidi kukaba kwa sababu ya urefu wake
 
Ebu kwanza tukuulize, nje ya msimu huu, ni lini ulimuona batshuayi akicheza ??? Inaweza kuwa hujawah kumuona zamani..

Nyinyi ndio mashabiki wa chelsea mnaoamini kepa ni kipa bora pale wingereza ila kakosa mabeki tu..

Mnapenda chelsea lakin hamjui mpira kabisa.. leo hii ukimuweka batshuayi kwenye mauzo, hafiki hata paund mil 35...
Usiwe mbinafsi kama jogoo, anaamini kwamba jua huchomoza ili yeye awike.

Yan kwakua wewe unasema Kepa mbovu basi anayekupinga hajui mpira. Msimu uliopita mlikua wap msimponde mnakuja kumponda sasa ivi? Sijatia hoja yoyote ila najaribu kuonyesha hoja zenu ni dhaifu mnoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom