Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hivi dully jr unajijua kuwa huko europa na siku yenu ni futuhi

Sasa nashangaa unapokuwa unajibizana na watu ambao sio sahizi yako unajichosha bure coz hata timu lako lenyewe arsenal limekushinda unaamua kuwaponda chelsea

Ningekuona wa maana kama timu yako ingekuwa ipo uefa ila sasa upo europa na bado unapiga kelele zako nyingi kumwombea chelsea apigwe goli 5

All in all hongera kwa mechi yenu kupangwa siku ya leo
 
Nyie mnacheza lini champions league na ni lini Mara ya mwisho kucheza champions league? Nafikri unaongelea mashindano ambayo timu yako tangu iundwe hakuna mchezaji amewahi kugusa kombe lakeMulizidiwa.

Mujifunze kukubali aaaalah!!!!
Mbeleko fc
[/QUOTE]Tunacheza leo jumatano mkuu,
 
Hivi dully jr unajijua kuwa huko europa na siku yenu ni futuhi

Sasa nashangaa unapokuwa unajibizana na watu ambao sio sahizi yako unajichosha bure coz hata timu lako lenyewe arsenal limekushinda unaamua kuwaponda chelsea

Ningekuona wa maana kama timu yako ingekuwa ipo uefa ila sasa upo europa na bado unapiga kelele zako nyingi kumwombea chelsea apigwe goli 5

All in all hongera kwa mechi yenu kupangwa siku ya leo
Tunacheza leo
 
Haya mambo yanapatikana chelsea tu. Laiti kama Zouma angescore hili goli basi humu ndani msingekalika. Hawa mashabiki wa man u na arsenal tunaosumbuana nao humu wangejuta.
 
Hivi dully jr unajijua kuwa huko europa na siku yenu ni futuhi

Sasa nashangaa unapokuwa unajibizana na watu ambao sio sahizi yako unajichosha bure coz hata timu lako lenyewe arsenal limekushinda unaamua kuwaponda chelsea

Ningekuona wa maana kama timu yako ingekuwa ipo uefa ila sasa upo europa na bado unapiga kelele zako nyingi kumwombea chelsea apigwe goli 5

All in all hongera kwa mechi yenu kupangwa siku ya leo
Tuliyafumua malinda msimu uliopita kwenye hilo kombe Lao la mbuzi . Arseshit . Litimu lao limeoza hata uefa halijawahi beba halafu linajilinganisha na giant billionaires club # Chelsea the blues
 
Tuliyafumua malinda msimu uliopita kwenye hilo kombe Lao la mbuzi . Arseshit . Litimu lao limeoza hata uefa halijawahi beba halafu linajilinganisha na giant billionaires club # Chelsea the blues
Chelsea fangal
 
Hapo tukiangalia H2H

• Valencia kamfunga Chelsea → Chelsea kwenye msimamo hawezi kuwa juu ya Valencia

• Chelsea kamfunga Ajax → Ajax hawezi kwenye msimamo hawezi kuwa juu ya Chelsea

• Ajax kamfunga Valencia → Ajax kwenye msimamo hawezi kuwa juu ya Chelsea

Sasa hapo ukiangalia sheria ya H2H
√ Ajax anaweza kuwa juu ya Valencia
√ Valencia anaweza kuwa juu ya Chelsea
√ Chelsea anaweza kuwa juu ya Ajax

Lakini:
• Chelsea hawezi kuwa juu ya Ajax, kwasababu ili awe juu ya ajax ni lazima awe juu ya Valencia jambo ambalo haiwezekani kuwa juu ya Valencia due to H2H

• Valencia hawezi kuwa juu ya Chelsea kwasababu ili awe juu ya Chelsea ni lazima awe juu ya Ajax jambo ambalo haliwezekani due tu H2H

• Ajax Hawezi kuwa Juu ya Valencia kwasababu ili awe juu ya Valencia ni lazima awe juu ya Chelsea jambo ambalo haliwezekani due to H2H

Kutokana na kufungana kisheria kwenye H2H Ajax ndiyo kapata Fursa ya kuongoza ligi kwa magoli ya Kufunga kwani alimpiga Valencia 3 Jambo ambalo katika nyinyi Watatu kufungana ni yeye pekee ndiye aliyepata ushindi wa goli 3

Mnaumia nini chelsea akiongoza kikundi.

Mbona kama Roho inawatoka?

Tulieni hizo takwimu zenu pelekeni kwenye kundi lenu. 🤪🤪🤪🤪
 
Sifa 10 za mashabiki uchwara/feki humu ndani
  1. Wanatukana ovyo
  2. Wanashangilia timu ikicheza vibaya au kufungwa
  3. Wanawashambulia wachezaji bila sababu
  4. Wanashangilia timu pinzani ikishinda
  5. Wanajitokeza pale tu timu inafanya vizuri
  6. Wanaungana na mashabiki wa timu pinzani kuwashambulia mashabiki halali wa Chelsea
  7. Hawajui historia ya timu wala wachezaji wake wala manajimenti yake
  8. Ni watu wa kukimbilia kulaumu laumu ovyo
  9. Maandishi yao yanakera mno mpaka unatamani wangekuwa karibu na wewe unaachia ngumi tu
  10. Wengi wao wanaonekana ni wa umri mdogo wa chini ya miaka 20

Umenena vema. Pia ni waropokaji sana
 
Florentino Perez eti sasa anamtaka Tammy Abraham kwa udi na uvumba
 
Team A

Pulisic Tammy Willian

Kovacic Jorginho Kante
Emerson Tomori Zouma Azpilicueta

Kepa

Team B


Mount Tammy Reece
RLC Jorginho Kovacic
Emerson Tomori Rudiger Azpilicueta

Kepa
 
Soka sio vita hata penalt nne zinatolewa na kadi hata 3 zikistahili
Mulizidiwa.

Mujifunze kukubali aaaalah!!!!
Mbeleko fc
[/QUOTE]
Indication ya kumzidi mpizani wako ni anapocheza rafu angalia statistics za bookings ajax wanacheza rafu tena zenye kuzuia movement za hatari.Narudia kusema Chelsea hii itakunyima appetite
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom