Amakweli hawajamaa ni fungu la kukosa,lakini tuongee polepole manake wakisikia hawachelewi kuja kufanya fujo hapa[emoji2958]shiii![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeshindwa kutembelea nyota ya mabingwa kwa kucheza J5. Fungu la kukosa
Amakweli hawajamaa ni fungu la kukosa,lakini tuongee polepole manake wakisikia hawachelewi kuja kufanya fujo hapa[emoji2958]shiii![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeshindwa kutembelea nyota ya mabingwa kwa kucheza J5. Fungu la kukosa
Hazard alifanya mahesabu yake vibaya tokea aende Madrid amekuwa wa kawaida Sana hiv kwel hazard wakufanyiwa sub kwel?MADRID GOAL 6.
Hazard No assist
Hazard No Goal
Rodrygo Hatrick
January waturudishie HAZARD wetu kwa mkopo.
Ile move hadi akina lampard walicheka jinsi zouma alivyopiga ule mpira japokuwa tulikuwa tunaongozwaZouma angekuwa na shabaha akafunga goli, ile solo move yake ilikuwa very very superb na goli lile lingekuwa solo goal of history
MADRID GOAL 6.
Hazard No assist
Hazard No Goal
Rodrygo Hatrick
January waturudishie HAZARD wetu kwa mkopo.
Ile move hadi akina lampard walicheka jinsi zouma alivyopiga ule mpira japokuwa tulikuwa tunaongozwa
Chelsea mipira yote ilikuwa inaenda kwa hazard aamue kusimama atishe, arudishe nyuma, apige chenga, atoe assist au afunge.
Inawezekana mfumo wa ZIDANE haumtaki acheze dribbling zake, akae na mpira sana, one man show kama alivyokuwa chelsea.
Wakati CR7 akiwa madrid wachezaji wote walikuwa wanamlisha mpira even benzema alikuwa anatoa assist nyingi kwa CR7.
Sasa hivi Madrid mipira yote analishwa BENZEMA. Ndio maana kasi yake ya kufunga imeongezeka sana.
Tatizo mnayasema timu ikiwana matokeo msiyoyataka ikifanya vizuri hamutaoni mazuri yake.Lazima tukubali usajili ujao lazima titafute goalkeper huyu ameshindwa fikia matarajio
kama wewe ulivyocheza msimu uliopitaNaona hako katimu mmegawana naye point na alkuw hana hata point 1 ndo ameipatia kwako leo
Kwel arsenal ni kibonde ndo maana michuano ya europa wanachez timu zilizochoka
Nyinyi wenyewe ndio wenye lugha mbovu,kwahiyo mulijivamiaNaona jana tulivamiwa, lugha mbovu zilitawala
Indication ya kumzidi mpizani wako ni anapocheza rafu angalia statistics za bookings ajax wanacheza rafu tena zenye kuzuia movement za hatari.Narudia kusema Chelsea hii itakunyima appetite[/QUOTE]Hivi nyinyi raia wa humu kwanini mnakuwa wabishi,mnabishana na uhalisia,ndio maana mnaambiwa humu mumejijaza vitoto vya u20Mulizidiwa.
Mujifunze kukubali aaaalah!!!!
Mbeleko fc
Aiseeeeehhhh kweli domo ni jumba la manenoTAMMY ABRAHAM = Isco + Jovic
Aiseeeeehhhh kweli domo ni jumba la maneno
Hivi nyinyi raia wa humu kwanini mnakuwa wabishi,mnabishana na uhalisia,ndio maana mnaambiwa humu mumejijaza vitoto vya u20View attachment 1256308[/QUOTE]From all footballIndication ya kumzidi mpizani wako ni anapocheza rafu angalia statistics za bookings ajax wanacheza rafu tena zenye kuzuia movement za hatari.Narudia kusema Chelsea hii itakunyima appetite
Hivi nyinyi raia wa humu kwanini mnakuwa wabishi,mnabishana na uhalisia,ndio maana mnaambiwa humu mumejijaza vitoto vya u20View attachment 1256308[/QUOTE]Indication ya kumzidi mpizani wako ni anapocheza rafu angalia statistics za bookings ajax wanacheza rafu tena zenye kuzuia movement za hatari.Narudia kusema Chelsea hii itakunyima appetite
Ni wa pili. Anayeongoza kwa sasa ni VardyAcha wivu mkuu, Abraham ndo anaongoza kwenye score sheet EPL katka msimu
From all footballHivi nyinyi raia wa humu kwanini mnakuwa wabishi,mnabishana na uhalisia,ndio maana mnaambiwa humu mumejijaza vitoto vya u20View attachment 1256308
Mechi ngapi mpaka sasa hivi???Acha wivu mkuu, Abraham ndo anaongoza kwenye score sheet EPL katka msimu