Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

We fala kama una stress zako na madeni ebu kaa mbali na mimi, sikuangalia vipi mpira na nilijuaje kuwa Tammy alikosa vichwa karibuni vi3 badala ya kupiga golini alipiga nnje tu?
Mtu mwenye akili akisoma reaction yako na ya kwangu it tells who is likely to be depressed. We mwenyewe hapo juu umekiri kuwa hukuangalia mpira
 
Yani ninacheka tu hapa kumbe hata Malafyale ana uafadhali!!

Mshabiki anayejiita wa Chelsea jana alijitapa kuwa hakuangalia game lakini cha ajabu leo anachambua game ilivyokuwa na kukosoa wachezaji wake wamekosa nafasi za wazi.

Je hizo nafasi walizokosa kaziona usingizini au?

Ukiwa Muongo uwe na Kumbukumbu
Angalau na wewe umeliona hili
 
Chelsea vs Ajax Chelsea player ratings
Mateo Kovacic na Christian Pulisic wana rating ya 8 kila mmoja wakati
Markos Alonso ana 3 the weakest rating
Mount ana 4, so weak rating
Kepa 5 weak rating
 
Zouma angekuwa na shabaha akafunga goli, ile solo move yake ilikuwa very very superb na goli lile lingekuwa solo goal of history
 
We ni mpumbavu usiye na akili nakupuuza tu . Malaya mmoja we
Acha kufatilia maisha ya Kidume wewe, kwani unaniwekea bando kwenye simu yangu hadi uwashwewashwe?

Mawatu mengine bhana, bando, muda na akili vya Mtu mwingine afu cha kuandika umpangie wewe, nina mashaka na vinasaba vyako vya kiume labda wawezakuwa siyo riziki...
 
Wewe sio shabiki wa Chelsea na wala mpira hujui. Batshuayi anajulikana na wanaojua mpira, mpaka Batshuayi sio kaliba ya Chelsea, kumtegemea Batsuayi akupe magoli 9 kwenye mechi 11 ni ndoto za alinacha au hadithi za abunuasi.
Onesha kadi yako ya ushabiki wa chelsea kabla hujamtuhumu mwenzio sio shabiki....

Sio vema hata kidogo,usitegemee dunia nzima itafikiria kama unavyofikiria wewe,na ndio maana Salah alionekana sio kitu na chelsea ila Klopp aliona anafaa sana....huko ndio kutofautiana kifikra.

Unamtuhumu mwenzio hajui mpira ,usikite wewe mwenyewe hata kutuliza chandimu huwezi.....
 
Yani ninacheka tu hapa kumbe hata Malafyale ana uafadhali!!

Mshabiki anayejiita wa Chelsea jana alijitapa kuwa hakuangalia game lakini cha ajabu leo anachambua game ilivyokuwa na kukosoa wachezaji wake wamekosa nafasi za wazi.

Je hizo nafasi walizokosa kaziona usingizini au?

Ukiwa Muongo uwe na Kumbukumbu
Kuna youtube mzee,
Unaweza kucheki recorded.....kabla ya kuhukumu fikiri usije ukaumiza.
 
Samahani Ngwaba
Nimefuatialia nilimiss creteria moja
Pamoja na maelezo mengi lakini mwanafunzi hawezi kuelewa kwa jinsi ulivyoelezea, UEFA wanaangalia H2H ya GD nimeelezea hapa chini

Kumbe timu sikifungana wanaangalia H2H ya timu zote zilizofungana
Kwa timu zote tatu Yaani Ajax, Chelsea na Valencia
Ajax kamfunga Valencia 3-0 kwa hiyo ana GD +3
Chelsea kamfunga ajax 1-0 kwa hiyo ana HD +1
na Valencia kamfunga Chelsea 1-0 kwa hiyo ana GD +1
Ukiweka GD total kwa kila timu
Ajax ana GD ya +2
Chelsea ana GD ya 0
Valencia ana GD ya -2
kwa hiyo Ajax anaongoza Chelsea namba 2 na Valencia namba tatu
Hata hivyo haijabadilisha kitu, muhimu ni kuwafunga Valencia basi
Kuwafunga utaweza????
Wakati washakugalagaza hapo daraja la mabua na trip hii unaenda magetoni kwao....

Europa new comer.....hahahahaaaaaa
 
Sifa 10 za mashabiki uchwara/feki humu ndani
  1. Wanatukana ovyo
  2. Wanashangilia timu ikicheza vibaya au kufungwa
  3. Wanawashambulia wachezaji bila sababu
  4. Wanashangilia timu pinzani ikishinda
  5. Wanajitokeza pale tu timu inafanya vizuri
  6. Wanaungana na mashabiki wa timu pinzani kuwashambulia mashabiki halali wa Chelsea
  7. Hawajui historia ya timu wala wachezaji wake wala manajimenti yake
  8. Ni watu wa kukimbilia kulaumu laumu ovyo
  9. Maandishi yao yanakera mno mpaka unatamani wangekuwa karibu na wewe unaachia ngumi tu
  10. Wengi wao wanaonekana ni wa umri mdogo wa chini ya miaka 20
Sasa hiyo namba 1 hapo ndio wengi wenu hahahaaaaaa matusi fc,

Ila hiyo namba 6 umezurula ,maana sijaona shabiki halali hapa wote wapiga kilele na vilaza muliotukuka.....
 
Abraham jana kama alikuwa beki vile ..halafu akiokoa mpira unaenda golini ...Batsman angeingia mapema tungeshinda...
Lampard nayeye kachelewa kufanya sub ya batshuay,ilitakiwa dak ya ,,,60 amuweke batshuay.
Naona kwa game ngumu batshuay ni mzur kuliko Abraham.
Kaingia dak ya 87 na kakosa kosa goli 2.
 
Hahah kwa hiyo watu wacheze tu faulo vile wanajisikia? Halafu wote wawili walikuwa na yellow card before.
Mmoja alikuwa na yellow toka gemu ya kwanza ..yule mwingine alipata kipind cha kwanza ..cha pili ndo akala reds ..wale Ajax wanashambulia lakin wanafunguka zaidi ..sasa wakishtukizwa tu wanatumia zaidi nguvu..
 
Jana kapoteza vichwa karibia vitatu vya wazi kabisa, Tammy si wa kumtegemea sana katika mechi ngumu 7bu bado ni mteke sana.

Abraham angekuwa mkomavu kama Batshuay wala nisingesapoti kuwaza usajili wa striker mwingine.
Anapiga vichwa vya kitoto sana. Akacheki kile cha Samata ..yule Alison akujua ata mpira umepitia wap
 
Nyie mnacheza lini champions league na ni lini Mara ya mwisho kucheza champions league? Nafikri unaongelea mashindano ambayo timu yako tangu iundwe hakuna mchezaji amewahi kugusa kombe lake
Soka sio vita hata penalt nne zinatolewa na kadi hata 3 zikistahili
Mulizidiwa.

Mujifunze kukubali aaaalah!!!!
Mbeleko fc[/QUOTE]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom