Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wa kuu msaad:Game ya chelsea unaonyeshwa super sport No ngp
 
Leo kuna kunguni anakufa mkono...

Na uwanja umeinama
Screenshot_20191105-233836.jpeg
Screenshot_20191105-233913.jpeg
 
Kipindi abraham anastruggle huko samatta kashawaeka liver tayari
 
Usiseme hivyo mzee baba
Ushabiki wa akili hizi ndiyo naukataaga kabisa na sijui kwanini kuna mawatu aina hii duniani.

Leo asubuhi nilimwambia Jamaa yangu mmoja kuwa leo Chelsea tuna mtihani mgumu sana kuifunga Ajax 7bu history yao ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2018/19 si mbaya kushinda ugenini na hata Tottenham alifanya kazi ya ziada kuitoa ugenini baada ya kuanza kufungwa uwanja wa wimble, Jamaa "oooh... tuna kikosi kizuri sana na bado majeruhi kikosi cha kwanza hawajarudi, wakirudi tutakuwa ni timu tishio sana Ulaya"

Bila shaka atakuwa kashanielewa mpaka sasa hivi.

Mi ni Mshabiki wa Chelsea lakini huwa sina mahaba hadi kuwa kipofu kushindwa kudadavua ukweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom