Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Game ya leo imemkata Alonso kabisa. Bora lampard aliona akamtoa mapema.
Alonso anatakiwa kuuzwa, hafai falsafa ya Lampard. Anavuta sana miguu na yuko vulnerable kwa faulu za kijinga jinga. Akikosa bei huyo atolewe mkopo ni hatari kwa Chelsea, atatufungisha magoli mengi hasa kwenye big games. Mimi simuamini kabisa. Magoli mengi yanmatokea kwake aidha kwa faulu amama kwa kushinda kumark au kukaba
 
Huenda kupigwa goals mbili za faster pale mwanzoni ndo kulileta majanga.

Anyway mimi binafsi bado sioni kama chelsea ni mbaya. Bado tuna chance ya kucorrect mistakes zetu na kufanya poa.

Huko mitandaoni naona watu wengi wanasema ajax amekuwa robbed kivipi?
 
Mimi naamini tukiwafunga Valencia na tunasonga mbele kwa sababu Ajax atashinda mechi zote mbili za Valencia na Lile
Hata kama Valencia akitoa sare na Ajax na sisi tukatoa sare na ajax na lile tunapeta tu kwa point moja Zaidi. Wenye nafasi ngumu ya kupata ni Valencia kwa sababu Lile wako hoi
 
Huenda kupigwa goals mbili za faster pale mwanzoni ndo kulileta majanga.

Anyway mimi binafsi bado sioni kama chelsea ni mbaya. Bado tuna chance ya kucorrect mistakes zetu na kufanya poa.

Huko mitandaoni naona watu wengi wanasema ajax amekuwa robbed kivipi?
Achana na mambo ya mitandao wanafikiri mpira ni vita unaweza kucheza faulo utakavyo kisa una kadi ya njano haupewi nyekundu na kama mmepewa kadi nyekundi hakuna kupewa nyingine wakati mnacheza faulo
 
Huenda kupigwa goals mbili za faster pale mwanzoni ndo kulileta majanga.

Anyway mimi binafsi bado sioni kama chelsea ni mbaya. Bado tuna chance ya kucorrect mistakes zetu na kufanya poa.

Huko mitandaoni naona watu wengi wanasema ajax amekuwa robbed kivipi?

2 Red Cards
 
Afadhali tumemalizana nao vizuri huku tukiwa bado tunaongoza kundi, hao Valencia na Lile tutaelewana nao tu, hata kwa magoli ya mkono tutasonga mbele. Hakuna mtu kwenda Europa hapa

Game yenu vs Valencia ni Must Wing game

Valencia akikufunga atatimiza points 10 ambapo wewe hata umfunge Lille goli 50 na wewe utatimiza 10 hapo Valencia atasonga mbele kwa Head to Head na wewe utaenda Uropa
 
Afadhali tumemalizana nao vizuri huku tukiwa bado tunaongoza kundi, hao Valencia na Lile tutaelewana nao tu, hata kwa magoli ya mkono tutasonga mbele. Hakuna mtu kwenda Europa hapa

Kundi lipi unaloongoza? Hebu kaangalie msimamo
 
Lampard nayeye kachelewa kufanya sub ya batshuay,ilitakiwa dak ya ,,,60 amuweke batshuay.
Naona kwa game ngumu batshuay ni mzur kuliko Abraham.
Kaingia dak ya 87 na kakosa kosa goli 2.
Game ya leo imemkata Alonso kabisa. Bora lampard aliona akamtoa mapema.
 
√ 2 Penalties

√ 2 Red Cards
[/QUOTE]
Soka sio vita hata penalt nne zinatolewa na kadi hata 3 zikistahili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom