Notice kwamba nimesema wana tabia ya Madrid ya kukusanya nyota. Sijasema wana historia ya kumzidi Madrid.Aise madrid wanahistoria kubwa kushinda psg
Notice kwamba nimesema wana tabia ya Madrid ya kukusanya nyota. Sijasema wana historia ya kumzidi Madrid.Aise madrid wanahistoria kubwa kushinda psg
Na hapa watawin sana. Kwasasa wamerikani wanatamani kumtazama kaptaini wao kila wakati
Wewe nyamaza kimya,kwatarifa yako tukikutana na Asernal tunahisi kama tunacheza na Wigan athletic,hatuna wasiwasi et.Baku tulikuwa na Luiz na Christansen kama FB na wakashindwa kufunga, je wakati huu wakata umeme akina Tomori na Zouma wako wataweza kweli. Nasubiri kwa hamu game hii na Arsenal tuwakimbize mchakamchaka mpaka wapotelee huko
Wataalamu wa kubet tayali tumemua Asernal tunasubiri mkwanja wetu.Nahisi hii game tutabutua 9 kama Leicester alichofanya kwa Southampton. Maneno mengi hamna kitu hao jamaa
Kwahiyo Manchester United walivyowapiga gongo 4 na wale Valencia waliowanyuka hapo daraja la mabua wao waagize nini mkuu?



Wewe tulia wewe ...Crystal Palace leo anakunyonyoa nyingi...Acha kelele wewe ,wekaga akiba usije kujipiga ban hapa wenzio mvua jua tupo
Huyu anasubiri siku tufungwe ndio utamuona lakini hali ni tofautiKuna huyu ndugu Aroon arsenal hili jukwaa siku hizi analiona ni chungu kuingia. Huwa anapita kama anaaga maiti![]()
Hahahaha akuna kukimbia apa ..halafu kwanin upate tabu?? Njoo uku ule bata bana ...Kupigwa ni matokeo. Unadhani Soton alijua kama jana anaenda kubakwa mara tisa? Au leo Burnley alijua kama nyinyi vibonde mngebahatisha mara nne?
Sema kuna kikosi nikikiona najipiga ban kwa muda.
Apo kwa Pulisic tumelamba dume...Na hapa watawin sana. Kwasasa wamerikani wanatamani kumtazama kaptaini wao kila wakati
Sisi tunajipigia mbuzi wetu subirini kwanza.Hahahaha akuna kukimbia apa ..halafu kwanin upate tabu?? Njoo uku ule bata bana ...
Lampard anatupa raha Kila day, ninyi Kila Siku mnakula mateso na Kocha wenu muhindi yule anawapoteza hahaha
Piga mbuzi hao...
Hawezi huko kkaishasema hapendi mfumo wa Sarri, labda ataenda BarcelonaHuyu akikaribiaga mwaisho wa mkataba wake anawasha moto kweli kweli lakini subiri aongeze mkataba utamchukia sana. Naona ni muda wa kuondoka aende Juve kwa babu Sarri.
Wazee wa matumainihaya hizi ndio prediction za charlie nicolas..View attachment 1245130
Popote tu swala aondokeHawezi huko kkaishasema hapendi mfumo wa Sarri, labda ataenda Barcelona
Alichoboronga hapo ni matokeo ya Chelsea na inaonyesha jinsi ambavyo haijui Chelsea vizuri bado anaidhania Chelsea ni ile iliyocheza na Man U kwenye ufunguzi.. Ushabiki na utabiri wapi na wapihaya hizi ndio prediction za charlie nicolas..View attachment 1245130
Baada ya mechi mbili tunakuja kuwapumulia hapo kisogoniNaona mmeanza kutumia ARV mtaishi kwa matumaini
#ynwa![]()