Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Defensive ya chelsea bado haijaimalika vizuri, lakn kipa wetu bado hayupo vizuri kbsa.... anahitaji changamoto... hana msaada timu ikizidiwa
Nikiwa kama shabiki wa chelsea , nimefurahi sana kwa ushindi wa jana . Ila ningependa nimtetee kipa wetu #kepa kwa yale magoli mawili aliyofungwa .

Goli la kwanza anastahili lawama kidgo kwa maana alichelewa kuwa kwenye position nzuri ya kuruka na kusave , lakini kwa goli la pili ule mpira ulimgusa Tommori ndo mana ukampoteza .

Huwezi ukasema krpa mbovu wakati bado defence yetu haijawa ya uhakika pia kumbuka kuna save hatari mno ambazo aluzifanya kwenye mechi . Binafsi naamini na nasema KEPA ni kipa mzuri kwa chelsea.

#CfC #Kepa
 
Kupigwa ni matokeo. Unadhani Soton alijua kama jana anaenda kubakwa mara tisa? Au leo Burnley alijua kama nyinyi vibonde mngebahatisha mara nne?

Sema kuna kikosi nikikiona najipiga ban kwa muda.
Hahaa eti kibonde? Mzee kwenye mpira hakuna kubahatisha ukiona umefungwa ujue ulifanya makosa wenzako wakatumia nafasi vizuri. Kibonde mliyemtabiria mechi kumi za mwanzo sasa hivi anashika nafasi ya nne huku wewe uliyejitabiria nafasi za juu leo unashushwa mpaka nafasi ya 8.

Ni ngumu kuamini
 
Kwa nini sasa Chelsea walikata rufaa wakati Lampard hana mpango wa kusajili january
Frank Lampard has hinted that he may not make any moves in the transfer window if the FIFA embargo is lifted in January.

Tunao wachezaji wengi sana , badala ya kusajili tuna uwezo wa kuuza na bado tukabakia na timu bora
 
Twenden tu na ukweli kante ni mtu mbaya ila covasic ni mtu mbaya zaid
We mtoto tema mate chini hawa watu hawafananishwi.
IMG_20191022_105949.jpeg
 
Nowadays ukikutana na Chelsea ukatoa sare inabidi uagize kitimoto na Pepsi bariiidi
Kwahiyo Manchester United walivyowapiga gongo 4 na wale Valencia waliowanyuka hapo daraja la mabua wao waagize nini mkuu?
 
Baku tulikuwa na Luiz na Christansen kama FB na wakashindwa kufunga, je wakati huu wakata umeme akina Tomori na Zouma wako wataweza kweli. Nasubiri kwa hamu game hii na Arsenal tuwakimbize mchakamchaka mpaka wapotelee huko
Unachekesha wewe,
 
Baku tulikuwa na Luiz na Christansen kama FB na wakashindwa kufunga, je wakati huu wakata umeme akina Tomori na Zouma wako wataweza kweli. Nasubiri kwa hamu game hii na Arsenal tuwakimbize mchakamchaka mpaka wapotelee huko
Nahisi hii game tutabutua 9 kama Leicester alichofanya kwa Southampton. Maneno mengi hamna kitu hao jamaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom