Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,988
- 9,213
Duh ii timu inacheza hovyo ivi itakuwaje tukikutana na kina man city au man u waliojitosheleza
Awa mado soon wanasawazisha
Ndio nashangaa watu wanasema itatisha, yaani mipango ni 0
Duh ii timu inacheza hovyo ivi itakuwaje tukikutana na kina man city au man u waliojitosheleza
Awa mado soon wanasawazisha
Lampard badala ya kumuweka kovacic anamuingiza huyu dogo
HahahahahahahahahhahahahahahahahahKovacic aende kufanya nini wakati timu imezidiwa?
ArsenalAnal domo atachonga domo lake hapa bora tuongeze tu
HahahahhahahahahahahhahahahahahTunaweza kuweka kambi hapa muda sio mrefu
Kovacic anasaidia ktk ku-balance team pale katikati anakaba na anatulia na mipira..huyu Abrahamu ilikuwa haina haja ya kuingiaKovacic aende kufanya nini wakati timu imezidiwa?
Yupi huyo mkuuNaotea wewe ni shabiki wa Arsenal![]()
HahaaaaaaaaaJamani kuna nini uwanjani? Nilipata mgeni nikaacha 1-0 na possession ya 80-20 nimerudi nakuta 1-1- na possession ya 49-51
Kuna nini jamani