Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,723
Kesho Leicester hatuna cha kupoteza
Nikikitana na mtu anayeamini hivi huja najua tu huyo ni kilaza maana mechi 10 mbili ndo zonatokea 8 utabr hautimiiWachambuz nguli duniani tunaamini jumapili Chelsea hatoboi,japo atacheza mpira mkubwa
View attachment 1183328
Mm naamin kesho hamtoboi kama nilivyowaambien mech ya man u & liver, mech ya kushinda bado nitawaambien ,Nikikitana na mtu anayeamini hivi huja najua tu huyo ni kilaza maana mechi 10 mbili ndo zonatokea 8 utabr hautimii
Hehee.. Ndio ulichobakiwa nacho hichoUmeshindwa kujibu swali, bas
Tunuombee ushind mnono kesho Leicester
Itawachukua mwez mzima kuanza kupata point 1Hehee.. Ndio ulichobakiwa nacho hicho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume wamekaa wanajadili mambo muhimu ya timu yetu, wewe unapita mbele yetu na kanga moja imelowana maji
Bila shaka hiyo kampeni utaifanya wewe na familia yako,ila sisi tunaamini pasipo shaka kuwa timu yoyote itakayokanyaga darajani lazima ipigwe nyingi hilo halina ubishi.Kesho tunaanza kampeni ya
Lampard Out
Hahaha Yan umecheza mechi mbili tu ..umeanza kuongea pumba kama ndo ligi inaisha hivi.. Kwa timu yenu ile middle zina pwaya, beki ni vvd tu ndo kabaki ..unategemea mpka desemba utakuwa apo ulipo...Msimamo wa Leo:
√ Chelsea akishinda atakamata nafasi ya 11
• Akitoka Sare atakamata Nafasi ya 15
× Akifungwa atakamata nafasi ya 20
Nadhani AROON alikuwa sahihi aliposema Chelsea atamaliza ligi kuanzia Nafasi ya 10 na kuendelea.
Ni halali au wameonewa ?VAR imeanza vituko vyake, City yanyimwa point 3 kwa sababu ya VAR