Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wadau tusiwe wabishi. Kante hachezi kabisa mbele ya defenders. Bado anatumika kama alivyokuwa anatumika kipindi cha Sarri. Naomba Leo mu-analyse vzur uone
Alivyosema innocent ni sawa
Kante japokuwa bado anacheza deep role lakini wamepewa uhuru wa kushambulia na kudefense tofauti na wakati wa sarri
 
Wapo waliolalamika lkn siyo Mimi. Mimi huwa sifuati mkumbo. Namkubali sana Joginho, ana quality kubwa sana.
Lakini wengi wenu mulikua munalalamika wakati sarri alipokaua akimchezesha box to box na mpaka mukafikia kutaka kocha afukuzwe na sababu kuu ni kua hamchezeshi kante namba 6
 
Come on wanangu wa King power

Leicester XI: Schmeichel, Perreira, Soyuncu, Evans, Fuchs, Ndidi, Tielemans, Choudry, Perez, Maddison, Vardy

CHELSEA TUSICHUKIANE ,KILA MTU AMUOMBEE NJAA MWENZAKE KWA MUDA WAKE
ArrsenAnal angalia wanaume wanapiga kazi
 
IMG-20190818-WA0011.jpg

This kid 🔥🔥
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom