Naam....4-0Si mmekutana wote wabovu
Man u wapo wapo
Chelsea anakimbikimbia, beki hamna kitu
Plan ipi hiyo isiyo na goli hata moja?Hii mechi na mchezo unvyochezwa unaweza kuilingnisha na mechi gani mkuu..Chelsea wako vizuri sana; wnafik golini wakiwa na very good plan.

Mkuu unawapa pole halafu unamalizia NakupigaPoleni sana jamani
Ndiyo soka hamna haja ya kuanza kumlaumu Lampard,mpeni muda akenge team!
Jumatano Istanbul nakupiga!
Nawatakia Eid Mubarak wakuu
Mkuu za siku nyingi ?Mbona tupo mkuu...tunaangalia mpira kwanza, maneno baadaye
Ngoja tupande tulichovuna
Ni kweli, mtafanya vizuri sanaNina imani na hawa madogo...tutulie the blues tutafanya vizuri tu
Chelsea beki zake zinamuangusha Sana msimu huu unaweza kuwa mbaya sana kwa Chelsea
Striker butu
Beki tatizo
Poleni sana jamani
Ndiyo soka hamna haja ya kuanza kumlaumu Lampard,mpeni muda akenge team!
Jumatano Istanbul nakupiga!
Man City 8 - 0 Chelsea.Kama Man u kawapiga nne subirini mziki wa city, goli sita zinajirudia,unaweka wakina zuma mabeki gani hayo uchochoro
Vipi mnazika hapa hapa au mnasafirisha?