Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ohoo tumecheza vzr ,wakati wachezaji wenu ndio hao hao ,

Zikifika mech 10 mpo top 6 mnaenda kubeba EPL ,

Kipa kepa

CB Zuma & na nan sijui

Sub tomori

Straika sasa ,jirud ,Abraham

Yaan mnaleta kikosi cha championship EPL ?

tutaelewana vzr msimu huu
 
N
Goli 4 mtungi unasema ni vitu vidogo tu mmezidiwa haha mpaka ulambe goli 6 au nane ndo akili iwakae sawa?
Taja team kwenye Epl ambayo haijafungwa 4 ,Chelsea ya Conte 2016 /2017 ilifungwa na vibonde Arsenal 3 bila Ikanyanyua ndoo EPL, goli 4 sio issue sana kinachotakiwa kurekrbisha makosa na kuendelea
 
G
Ohoo tumecheza vzr ,wakati wachezaji wenu ndio hao hao ,

Zikifika mech 10 mpo top 6 mnaenda kubeba EPL ,

Kipa kepa

CB Zuma & na nan sijui

Sub tomori

Straika sasa ,jirud ,Abraham

Yaan mnaleta kikosi cha championship EPL ?

tutaelewana vzr msimu huu
Huyo "nani sijui" anayo EPL,Europa,FA taja wachezaji wako waliobeba hayo makombe ,huyo Giroud muulize BAKU alikufanyaje,huyo Kepa anadaka Spain kipa wako muulize alishawai kudaka Germany lini? Tutaelewana tu
 
Where’s all the Chelsea fans that were telling me these defenders are better than Luiz
IMG_20190811_222101.jpeg
 
G
Huyo "nani sijui" anayo EPL,Europa,FA taja wachezaji wako waliobeba hayo makombe ,huyo Giroud muulize BAKU alikufanyaje,huyo Kepa anadaka Spain kipa wako muulize alishawai kudaka Germany lini? Tutaelewana tu
Umeshakula 4-0 sio muda hebu tulia ukauke kwanza
 
Nawaambia ukweli ndugu zangu,msema kweli mpanzi wa Mungu.
Kwa hii timu yenu liverpool atawadhalilisha vibaya mno katika mchezo wenu unaofuata.

Hapo sijamzungumzia Pep ambaye pale kati na mbele amekamilika vibaya mno. Atawabamiza sio chini ya saba, sisi kati tulikuwa hovyo na mbele lakini tumewararua nne bila.

Poleni sana!
 
Umeshakula 4-0 sio muda hebu tulia ukauke kwanza
Wewe ni debe tupu linapiga kelele at the end Chelsea is always ,always better than your team ,haunisumbui hata kidogo na kelele zako tunazizima kwa mafanikio ,mwishoni Chelsea Mara zote tuna furaha kuliko Arsenal .Pokea msumari huu
 
Kama man u mbovu hii imekufunga , subir kina wolves wakubonde zaidi

Mpira mmecheza ila huna CB ,et sub tomori ,

Nilikwambia huna timu msimu huu unanibishia sawa , tuone msimu huu

Nilisema ikifika mech 10 mpo top 6 bas mtabeba EPL , nakukumbusha tu ,
Subiri basi hizo mechi 10 zikamilike.
 
Wewe ni debe tupu linapiga kelele at the end Chelsea is always ,always better than your team ,haunisumbui hata kidogo na kelele zako tunazizima kwa mafanikio ,mwishoni Chelsea Mara zote tuna furaha kuliko Arsenal .Pokea msumari huu
Unapayuka Chelsea ni kakilabu ka pombe

Umenyukwa 4 kavu bado hujakauka ,unapata WAP nguvu ya kuropoka

Msimu huu tunawashusha daraja
 
Watu wenye akili ndogo bana wameshaconclude kuwa tuna timu mbovu wakat mechi moja tu wamesahau walishawah kushnda mechi 10 mfululizo lkn ilibaki story
 
Subiri basi hizo mechi 10 zikamilike.
Pole lkn tatizo unatanguliza ushabiki maandaz mbele ,unanikumbusha arsenal moja tulikuwa tunapiga Mpira kama mliopiga Leo ila tunafungwa kipumbavu, uzuri Wenger ni mwalimu ,mwisho wa siku top 4 anazama,

Ila kwa Chelsea ya mwaka huu ,huna CB mzoefu ,Zuma anacheza rafu ovyo, Christensen anakabia macho , rudiga majeruhi, sub tomori ,kidogo una kiungo maana hata mashambulizi umefanya mengi, ila forward huna.

Jiandaeni kisaikolojia
 
Ijumatano sijui mtatokea chocho gani nyie wa Wagalatia wa Yobo Makangarawe,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom