Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wasipojiangalia kwa timu zilivyojipanga wanashuka kweli

Wewe Watford winger wana Ismair sarr , forward wana welbeck na Deney, kiungo wana deocure na kina Pereira,

Everton wana Trio safi IWOBI-RICHARLSON-KEANE MOISE

bado kina wolves ,Leicester

Wasipokaa sawa na Ban waliyoipata watajikuta mwezi wa 4 wanapigania wasishuke daraja
Tatizo mnatoka kwenye uhalisia mnaanza majungu. Nakwambiaje Chelsea hata awe mbovu kiasi gani nafasi mbovu atakayoshika ni ya 8 haiwezi kuwa chini ya hapo hata iweje. Hebu ongeeni kiuhalisia acheni porojo.
 
Tatizo mnatoka kwenye uhalisia mnaanza majungu. Nakwambiaje Chelsea hata awe mbovu kiasi gani nafasi mbovu atakayoshika ni ya 8 haiwezi kuwa chini ya hapo hata iweje. Hebu ongeeni kiuhalisia acheni porojo.
Kipindi leicester anachukua ubingwa mlimaliza nafasi ya kumi na timu ilikua nzuri tu, sasa tuna mashaka na timu hii kama itaweza kweli mbele ya leicester,watford,wolves,everton na bournemouth,
Ikumbukwe msimu uliopita ulipata point moja moja tu kwa wolves,everton na leicester.
 
Kipindi leicester anachukua ubingwa mlimaliza nafasi ya kumi na timu ilikua nzuri tu, sasa tuna mashaka na timu hii kama itaweza kweli mbele ya leicester,watford,wolves,everton na bournemouth,
Ikumbukwe msimu uliopita ulipata point moja moja tu kwa wolves,everton na leicester.
Wewe ulipata point ngapi kwa hizo timu
 
Tatizo mnatoka kwenye uhalisia mnaanza majungu. Nakwambiaje Chelsea hata awe mbovu kiasi gani nafasi mbovu atakayoshika ni ya 8 haiwezi kuwa chini ya hapo hata iweje. Hebu ongeeni kiuhalisia acheni porojo.
Mkuu hii Chelsea haiwezi shika 8, Man U wameifunga timu bora kwa counter attack na wao wanajua hilo. Bahati haikuwa kwetu. Tunawasubiri Darajani marudiano. Lampard anachotakiwa ni kuiandaa timu kwa counter attack kwa sababui naona kama hakuiandaa kwa situation hiyo. Kukosa magoli hasa kipindi cha kwanza ni bahati mbaya na daima bahati mbaya haijirudii.
 
lembu Mulijitahidi kuhadaliwa na bijiushindi vya preseason ambavyo watu walikuwa wakijaribu vikosi vyao mukajiona muna bonge la timu sasa unaona madhara Yake?

Si tuliwaambia hapa kuwa hamuna timu mukabisha? Ona sasa!

Ivi kumtegemea Abraham kuwa ni Striker na Kumtegemea Zouma kuwa ni Beki kweli inaingia akilini?
Ndio ligi kwanza imeanza na tumeanza na Nyama ngumu yenye mifupa na miiba mingi, ngoja tufikie kwenye steki, tutakavyoanza kula kama nyie mlivyokula halafu mnatamba
 
Ndugu zangu Chelsea hii regardless ya matokeo ya Leo ni nzuri na ni ya Top 4, tunakwenda kuweka mikakati ya kukabiliana na counter attack na kurekebisha silly mistakes za mabeki
Man U walikuwa wakicheza kwa kuwakwepa Jorgninho na Kovacic ambao kwa kweli leo ndio wao waliamua mchezo uchezwege. Isingekuwa makossa ya mabeki matokeo leo yangekuwa mazuri sana
Hata forward inayobezwa iko vizuri
18 shots na 7 on target sio rahisi pale OT wakati wao ni Shots 11 na on target 5 tu
Performance ya naman hii ikifanyiw aimprovement kwenye defence, tutapata point nyingi tu za kutuweka mjini
 
Tatizo mnatoka kwenye uhalisia mnaanza majungu. Nakwambiaje Chelsea hata awe mbovu kiasi gani nafasi mbovu atakayoshika ni ya 8 haiwezi kuwa chini ya hapo hata iweje. Hebu ongeeni kiuhalisia acheni porojo.
Sijakujibu wewe ,nilikuwa namjibu huyo aliyekuja kishabiki ,
 
comment za kujifariji na kuchekesha tu ah ah ah..
Chelsea went to Manchester ' 4 ' nothing
 
Mmeanza matusi yenu, mkiitwa cheltako ,chelwowo,chelmsambwanda mnalalmika sana ,hiv mkitaja timu za wenzenu kama zinavyoitwa mnapungukiwa nn? Huu ushabiki maandazi ,ndio unawaponzaga mnajipiga ban
Mkuu hayo majina mnayotuita mmeanza wenyewe. Kwa mara ya kwanza nimeona chelsea imeitwa jina bovu ni kutoka shabiki wa Man Utd tena ni misimu ya nyuma na mpaka leo nyie wenyewe mnatuita majina majina mabaya kwenye majukwaa mengine halafu huku mna act loyal.

Kumbe ma nyie yanawauma..
 
Kama Manchester United na forward yake hii ya Umisenta inatengeneza nafasi 5 inaweka kambani 4, mkikutana na Timu kama Manchester city yenye Top striker na viungo wenye uwezo wa ku create chances zaidi ya 12 per game mtasalimika kweli.
Kwa bahati mbaya au nzuri mpira hauchezwi kwa ku assume.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom