Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa formation ya 4-2-3-1
Lampard atakuwa akibadilisha formation ili kutumia silaha zote alizo nazo kama akina Batshuayi, Barkley, Willian, RLC akipona nk
Mfano kwa formation ya 4-3-3 ataweza kuwachezesha Barkley/RLC na Mount pamoja nk
na kwa 4-4-2 ataweza kuwacheza Giroud/Batshuayi na Abrahama pamoja kule mbele
na katikati Jorginho, Kante , Barkley na Mount pamoja huku Jourginho ndie atakuwa mchezeshaji/register
na kwa 4-1-3-2 Kante kama DM na hao akina RLC, Mount, Barkley na ataweza kuwacheza Giroud/Batshuayi na Abrahama pamoja kule mbele nk
 
Kwa formation ya 4-2-3-1
Lampard atakuwa akibadilisha formation ili kutumia silaha zote alizo nazo kama akina Batshuayi, Barkley, Willian, RLC akipona nk
Mfano kwa formation ya 4-3-3 ataweza kuwachezesha Barkley/RLC na Mount pamoja nk
na kwa 4-4-2 ataweza kuwacheza Giroud/Batshuayi na Abrahama pamoja kule mbele
na katikati Jorginho, Kante , Barkley na Mount pamoja huku Jourginho ndie atakuwa mchezeshaji/register
na kwa 4-1-3-2 Kante kama DM na hao akina RLC, Mount, Barkley na ataweza kuwacheza Giroud/Batshuayi na Abrahama pamoja kule mbele nk
Kwenye 4 3 3 Kante na Joginho wana namba za kuaminika hao wengine wanakiwa sub au wanabaki kugombania nafasi moja inayobaki. Quality ya hao wawili iko mbali na midfielders wanaobaki
 
Kwenye 4 3 3 Kante na Joginho wana namba za kuaminika hao wengine wanakiwa sub au wanabaki kugombania nafasi moja inayobaki. Quality ya hao wawili iko mbali na midfielders wanaobaki
Formation inayoinvolve a lot of passing ambayo Jo ni mzoefu ni 4-4-2
4-3-3 ya Lampard DM anakuwa mmoja ambaye ni Kante na wengine wawili ni attacking MF. Sasa Jo sio mzuri kwenye attacking ukiwalinganisha na RLC na Mount au Barkley
 
Anthony Taylor ndie referee wa mechi kati ya Man United na Chelsea
Historia haiko upande wetu, mwaka jana nadhani jamaa kachezesha mechi tatu za Chelsea na zote hatukushinda
 
Naiona Chelsea kama Liverpool ya miaka miwili mitatu nyuma iliyokuwa na uwezo wa kufunga lakini pia yenye matobo mengi nyuma
 
Joginho ana vitu vingi vya kiufundi. Tumezoea Sari akimtumia kama kama 6 ila ujue Lampard atamtumia kama namba 8. So nafasi ya namba 10 ndo ataingia either Barkley, Mount au hata Pulisic
Formation inayoinvolve a lot of passing ambayo Jo ni mzoefu ni 4-4-2
4-3-3 ya Lampard DM anakuwa mmoja ambaye ni Kante na wengine wawili ni attacking MF. Sasa Jo sio mzuri kwenye attacking ukiwalinganisha na RLC na Mount au Barkley
 
IMG_20190806_092906_987.jpeg
 
Acheni huzi aina za majibizano ndugu zangu,soka sio uadui yatupasa tubishane kwa hoja zisizokera katika upande mwingine
Hahaha kuna uyo mwingine anapenda kufurahishwa balaa..tena na wauni tu wasio na future yeyote
 
Joginho ana vitu vingi vya kiufundi. Tumezoea Sari akimtumia kama kama 6 ila ujue Lampard atamtumia kama namba 8. So nafasi ya namba 10 ndo ataingia either Barkley, Mount au hata Pulisic
Sina shaka na hilo ila kwa ubora wa midfields tulio nao, na ninavyomjua Lampard, atataka kuwatumia wote na kwa hiyo tutegemee sana change of formation kila anapobadilishwa mchezaji hasa forward na MF. Setup ya nyuma haitabadilishwa na formation au sub kwa sababu zote zitahitaji CD wawili na LB na RB
Mbele Lampard atawatumia zaidi Barcley na Mount na RLC akipona aidha kwa kuwachezesha wawili au kwa kuwasub
Naona atakayeadhirika kwenye kuanzan ni Kovacic kwa sababu yeye ni mbovu kwenye kudefend ila kwenye kuchezesha mpira kati na mbele ni mzuri
Pulisic namuona akicheza Zaidi na 10 akibadilishana na Willian, kulia watapambana CHO na Pedro
 
Murphy prediction on top 6 positioning in 2019/20 season
1. Liverpool
2. Manchester City
3. Tottenham
4. Manchester United
5. Chelsea
6. Arsenal

Maoni yangu
Mimi napingana na prediction yake kwenye position ya Spurs
Spurs hatamaliza top 4 mwaka unaokuja
Spurs watashare na Arsenal no 5 na 6
Arsenal watacheza Ueropa mpaka walichukuwe, wasipolichukua hakuna kuja UCL, hiyo ni BAN
Apo kwa AssAnal upo sawa kabisa, hata fans wake hawawezi pinga.
 
Acheni huzi aina za majibizano ndugu zangu,soka sio uadui yatupasa tubishane kwa hoja zisizokera katika upande mwingine
Usijali mkuu, personal attacks hazina maana hili ni soka tu, wote sisi ni fans..tofauti zetu visit I to banks he AROON ni kama ndugu yangu Sema sasa kuna muda anaongea shit sana
 
Kwa Aston villa hii, leiceater ,westaham , wolves , hawa jamaa sio wakiwaacha salama
Hahahahahahahahah Na ninawasubiri Tar 14 kwenye Super cup niwanyooshe vizuri na lile pazia lao la kusagia unga mashineni KEPA ukipiga tu imooo
 
Hahahahahahahahah Na ninawasubiri Tar 14 kwenye Super cup niwanyooshe vizuri na lile pazia lao la kusagia unga mashineni KEPA ukipiga tu imooo
Juzi umecheza na city na kwa kiwango chako chote umeshindwa kushinda wakati city alicheza chini ya kiwango. Au mulitaka mukacheze Anfield labda mungeshinda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom