lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,482
Na hasa wakimchezesha Luiz, si unajua namna Tammy atakavyomgeuka, maana Luiz ukimpa mgongo tu hawezi kukimbiaGemu itakuwa nyeupe sana uwakika wa kutoboa upo.
Na hasa wakimchezesha Luiz, si unajua namna Tammy atakavyomgeuka, maana Luiz ukimpa mgongo tu hawezi kukimbiaGemu itakuwa nyeupe sana uwakika wa kutoboa upo.
Kinachonifurahisha huyo Ngwaba akishaona unamzidi facts au points anapotea kabisa anashindwa kutetea anacho amini. Sasa hapo unajua kabisa hakuna wanachotetea ila ni ubishi kuchangamsha genge. Sema tatizo ana waspoil vijana wa gunners na wao wanapata kichwa kwa sasa.Hata wabadilsihe keyword bado Chelsea ni timu kubwa na ndio maana wamejazana hapa kwenye jukwaa na strees zao za kuiogopa Chelsea, Kwa makombe Chelsea ipo juu, kwa pesa tupo juu, wivu utawamaliza tu!
Na huyu Ngwaba hata ushabiki wake hauendani kabisa na signature yake
Luiz?Na hasa wakimchezesha Luiz, si unajua namna Tammy atakavyomgeuka, maana Luiz ukimpa mgongo tu hawezi kukimbia
Hata wabadilsihe keyword bado Chelsea ni timu kubwa na ndio maana wamejazana hapa kwenye jukwaa na strees zao za kuiogopa Chelsea, Kwa makombe Chelsea ipo juu, kwa pesa tupo juu, wivu utawamaliza tu!
Na huyu Ngwaba hata ushabiki wake hauendani kabisa na signature yake
Kwa Makombe mupo juu? 😀😀😀
AROON hebu tuekee idadi ya Makombe (Mpaka Mickey Mouse) yote Chelsea aliyonayo, Na uweke ya Arsenal yote aliyonayo.
Mimi Naanza na Liverpool:
1) Ligi 18
2) UCL 6
3) UEL 3
4) U Super Cup 3
5) FA 7
6) Carabao 8
7) Ngao 16
Jumla hapo ni Trophy 61
Nimehesabu Mpaka Mickey Mouse kwasababu ndiyo uwezo wa Chelsea Coz kwenye Makombe havuuki hata 7.
Huyu jamaa ninawasiwasi kuwa hajui hata idadi ya Makombe Chelsea aliyonayo ni Mangapi ndiyomana anabwabwaja kuwa yupo juu kimakombe!
Sijui anadhani Chelsea ina Makombe 100?
Kila la heri kaka lakini nakukumbusha kuwa unaenda vitani na unaenda kupambambana na mwanaume mwenzako kutoka magharibi mwa mji wa London tambua kuwa nayeye amejiandaa kama ulivyojiandaa wewe,mwisho nakukumbusha kuwa vita ni timingi na huwa havina macho.Vibonde wa London mpo? Kocha wenu mwanafunzi naskia kashawaambia muandae vifuatavyo.
1.oil chafu
2. Mafuta aina ya babycare au baby Johnson
3. Olive oil
4.grease
Maana jumapili mnachezea kichapo heavy. Tutawapiga hadi mchakae maana hatukwepeki msimu huu kama kifo lazma mliwe tu.


Cheki unavyo switch sides. Umeongelea most successful teams in EPL mkaitoa Chelsea ona upuruzi unaoleta sasa hivi.
Stay on your lane.
Wazee wa kubet pls leo apewe Man u, Jumatano apewe liverpool, Jpili ijayo apewe leicester city, chelwowo watapigwa watachakaa.
Weka na miakaKwa Makombe mupo juu? 😀😀😀
AROON hebu tuekee idadi ya Makombe (Mpaka Mickey Mouse) yote Chelsea aliyonayo, Na uweke ya Arsenal yote aliyonayo.
Mimi Naanza na Liverpool:
1) Ligi 18
2) UCL 6
3) UEL 3
4) U Super Cup 3
5) FA 7
6) Carabao 8
7) Ngao 16
Jumla hapo ni Trophy 61
Nimehesabu Mpaka Mickey Mouse kwasababu ndiyo uwezo wa Chelsea Coz kwenye Makombe havuuki hata 7.
Huyu jamaa ninawasiwasi kuwa hajui hata idadi ya Makombe Chelsea aliyonayo ni Mangapi ndiyomana anabwabwaja kuwa yupo juu kimakombe!
Sijui anadhani Chelsea ina Makombe 100?
Katika miaka 15, Chelsea imekuwa ni timu inayoogopwa sio tu England hata Europe. Hiyo ndio chanzo cha mapovu. Na ukumbuke timu ndogo huwa hata hakuna mtu anaijali, ila timu kubwa itzungumzwa kila kona na kufanyiwa fitina ya maneno sisi tuko kaziniWapinzani wa Chelsea ndo wanaotoka mapovu kuliko wenye timu yao imenipa mashaka kidogo kitu gani wanachoofia kwa Chelsea mpaka imefika hatua hiyo ikiwa hata game ijaanza waanza kuropoka kiasi hichi
Nlikua natoa tu advice mkuu, no need to panic.Na mpira ndivyo ulivyo, lazima tuchangamshane maana mmepoa sana humu.Jukwaa la betting hujaliona au...