Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Timu ikishakuwa na watoto wengi shida sana. Mpira wanaucheza wao lkn wanafungwa wao😡
 
Hii ni ligi na hii ni mechi ya kwanza tu. Acheni miemko mpira Wa miguu ndivyo ulivyo. Angalau baada ya mechi 10 unaweza kusema kitu.

Na isitoshe hakuna mwenye uchungu na Chelsea kama yule anayeweka hela yake

Nawashangaa watu wanapata mchecheto mechi moja wakati hata hizo timu wanazoita bora hazijajengwa sku moja
Hope will bounce back
 
Mashabiki wenzangu nguli msishituke na kipigo tulichopata TUKO ViZURI ,tumecheza Soka safi sana ,vitu vichache Vya kurekebisha ,pia tusisahau bahati haikuwa kwetu ,sibabaishwi na mashabiki wa team zilizogoma kuchukua vikombe ,blue is the colour
Yani kututuswa 4 bila unasema mko vizuri? Ungetoa hata draw si mngesema mko mbinguni? ... kiri kuna tatizo, na tatizo kubwa tu lipo hapo kwa beki na huko mbele hamko aggressive wala si cha bahati
 
Lampard ni mbahatishaji hakuna anachokijua kuhusu coaching tactics & technics

Yaani tumeuziwa mbuzi kwenye gunia.
 
Mashabiki wenzangu nguli msishituke na kipigo tulichopata TUKO ViZURI ,tumecheza Soka safi sana ,vitu vichache Vya kurekebisha ,pia tusisahau bahati haikuwa kwetu ,sibabaishwi na mashabiki wa team zilizogoma kuchukua vikombe ,blue is the colour
Man Utd hawajashinda kibahati
 
Screenshot_20190811-202314_All%20Goals.jpeg
 
Niko hapa kutoa mwaliko wa harus ya bint yetu aliyefanyiwa send off pale OT.harus itafanyika pale Vodafone Arena siku ya J5.nyote mnakaribishwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom