Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Niliwaambia mtapigwa hadi mchakae. Hahahaha this is EPL kila mtu ashinde nyumbani. No one can stop this golden generation ya united watafanya maajabu makubwa msimu huu. Poleni lakini mkajipange upya sasa.
 
Nawaza hapa............WHAT KLOPP WILL DO TO LAMPARD ON WEDNESDAY.
 
Man u wana roho nzuri. awaja waweka wa mwisho
Screenshot_20190811-203214_Google.jpeg
 
Man City atajinyakulia mara ya 3 mfululizo ubingwa wa epl maana njia ni nyeupe sana na hana hata mpinzani.

Hivi kuna Watu walikuwa wanajipa moyo kabisa kuwa Chelsea ataleta ushindani wowote ktk epl mwaka huu?
Liverpool bado atamsumbua
 
lembu Mulijitahidi kuhadaliwa na bijiushindi vya preseason ambavyo watu walikuwa wakijaribu vikosi vyao mukajiona muna bonge la timu sasa unaona madhara Yake?

Si tuliwaambia hapa kuwa hamuna timu mukabisha? Ona sasa!

Ivi kumtegemea Abraham kuwa ni Striker na Kumtegemea Zouma kuwa ni Beki kweli inaingia akilini?
 
Hii ni ligi na hii ni mechi ya kwanza tu. Acheni miemko mpira Wa miguu ndivyo ulivyo. Angalau baada ya mechi 10 unaweza kusema kitu.

Na isitoshe hakuna mwenye uchungu na Chelsea kama yule anayeweka hela yake
Abrahamovich aiuze klabu kwa waarabu ili tujipange upya maana nilishaona jinsi alivyoichoka hadi kuokoteza makocha ubabaishaji ilimradi aaminishe washabiki bado anaipenda Chelsea
 
Kabisa. Tatizo ni kwamba Lampard nyumba hana option. Wengi tulisema Luiz ni wa muhimu hasa kutoa leadership na experience. Huwezi kuchezesha watoto wadogo nyuma kati simultaneously.
Tuna timu mzuri inaitaij malekebisho kidgo back line
 
Mashabiki wenzangu nguli msishituke na kipigo tulichopata TUKO ViZURI ,tumecheza Soka safi sana ,vitu vichache Vya kurekebisha ,pia tusisahau bahati haikuwa kwetu ,sibabaishwi na mashabiki wa team zilizogoma kuchukua vikombe ,blue is the colour
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom