Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yani kututuswa 4 bila unasema mko vizuri? Ungetoa hata draw si mngesema mko mbinguni? ... kiri kuna tatizo, na tatizo kubwa tu lipo hapo kwa beki na huko mbele hamko aggressive wala si cha bahati
Hao bado wana stress mkuu,,,,waache kwanza
 
Ligi ikiisha kesho kuna mijitu itakuwa imeshuka daraja ...hahahaaaaaa
Wasipojiangalia kwa timu zilivyojipanga wanashuka kweli

Wewe Watford winger wana Ismair sarr , forward wana welbeck na Deney, kiungo wana deocure na kina Pereira,

Everton wana Trio safi IWOBI-RICHARLSON-KEANE MOISE

bado kina wolves ,Leicester

Wasipokaa sawa na Ban waliyoipata watajikuta mwezi wa 4 wanapigania wasishuke daraja
 
Tumecheza vizuri na makosa vilevile yameonekana, tumekubali kushindwa ktk hii mechi ya Leo.

Nazani Lampard anatakiwa kubadilika kulingana na udhaifu wa Timu yetu ulipojificha.

Tuwe pamoja Mafans wa The Blues kwani mapambono bado yanaendelea....
 
4 - 0
G
Huyo "nani sijui" anayo EPL,Europa,FA taja wachezaji wako waliobeba hayo makombe ,huyo Giroud muulize BAKU alikufanyaje,huyo Kepa anadaka Spain kipa wako muulize alishawai kudaka Germany lini? Tutaelewana tu
 
IMG-20190811-WA0045.jpeg
 
Leo tarehe 11/8/2019 Chelsea FC tumepata pigo baya la mabao manne kwa nunge dhidi ya Manchester United Fc. Hili ni mwanzo wa funzo kuwa na uvumilivu na kujipanga zaidi katika mechi zijazo japo tumefungua ligi vibaya. Tuko pamoja wana familia, forever blues. God is Good, All is Well.
Acha kujipa moyo.. Jiandae kucheza championship tu
 
Kuwa na adabu kidogo mtu kakuweka 3 kavu bado unamwita kibonde.....
N
Taja team kwenye Epl ambayo haijafungwa 4 ,Chelsea ya Conte 2016 /2017 ilifungwa na vibonde Arsenal 3 bila Ikanyanyua ndoo EPL, goli 4 sio issue sana kinachotakiwa kurekrbisha makosa na kuendelea
 
Tumecheza vizuri na makosa vilevile yameonekana, tumekubali kushindwa ktk hii mechi ya Leo.

Nazani Lampard anatakiwa kubadilika kulingana na udhaifu wa Timu yetu ulipojificha.

Tuwe pamoja Mafans wa The Blues kwani mapambono bado yanaendelea....
Jifariji, mwisho wa siku Mtajikuta mnagombania kushuka daraja
IMG-20190811-WA0043.jpeg
 
Pole lkn tatizo unatanguliza ushabiki maandaz mbele ,unanikumbusha arsenal moja tulikuwa tunapiga Mpira kama mliopiga Leo ila tunafungwa kipumbavu, uzuri Wenger ni mwalimu ,mwisho wa siku top 4 anazama,

Ila kwa Chelsea ya mwaka huu ,huna CB mzoefu ,Zuma anacheza rafu ovyo, Christensen anakabia macho , rudiga majeruhi, sub tomori ,kidogo una kiungo maana hata mashambulizi umefanya mengi, ila forward huna.

Jiandaeni kisaikolojia
Mimi hali yangu naielewa vizuri sijaeahi ku over expect kwamba nitapata matoneo mazuri. Kitakachotokea ndicho nachoshukuru, halafu nikisema tumecheza leo ni kwamba sijategemea kucheza vile leo sema matatizo ni km ya msimu uliopita kufunga na beki tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom