Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Binafsi hata mimi naona Christensen anastahili kunza mbele ya Luiz. Huyu jamaa ana miez 6 hajacheza for now bado hajawa fit kuanza kila match.

Kwa Barkley bado naona ana uhai zaidi ya Kovacic

Sent using Jamii Forums mobile app
Case ya Luiz na Barkley ni moja lakini Luiz anayo zaidi hata wakati wa Conte alisababisha timu ikabugizwa magoli mengi na AS Roma. Mimi naona apewe Andreas Christensen zaidi ili akomae bado ni mdogo kasi na concentration yake ni kubwa kuliko ya Luiz
Kwa Kovacic na Barkley, kocha aendelee kuwa interchange mpaka apate nani anafaa kwenye starting XI
 
Case ya Luiz na Barkley ni moja lakini Luiz anayo zaidi hata wakati wa Conte alisababisha timu ikabugizwa magoli mengi na AS Roma. Mimi naona apewe Andreas Christensen zaidi ili akomae bado ni mdogo kasi na concentration yake ni kubwa kuliko ya Luiz
Kwa Kovacic na Barkley, kocha aendelee kuwa interchange mpaka apate nani anafaa kwenye starting XI
Luiz anajua kukaa na mpira na kutoa pasi zenye macho.

Christensen anajua kukaba ila huwa anabutua. Labda ni uchanga ila anatakiwa kuwa mtulivu awapo na mpira. Hilo ndilo linalomweka benchi nyuma ha Luiz.


Kwa mechi ambayo tunajua hatutaweza kushambulia sana (kama mechi na Man city labda) Barkley ataanza mbele ya Kovacic kwa kuwa ana defensive skills nzuri zaidi. Ila kama tunataka udambwidambwi ni lazima Kovacic aanze.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Luiz anajua kukaa na mpira na kutoa pasi zenye macho.

Christensen anajua kukaba ila huwa anabutua. Labda ni uchanga ila anatakiwa kuwa mtulivu awapo na mpira. Hilo ndilo linalomweka benchi nyuma ha Luiz.


Kwa mechi ambayo tunajua hatutaweza kushambulia sana (kama mechi na Man city labda) Barkley ataanza mbele ya Kovacic kwa kuwa ana defensive skills nzuri zaidi. Ila kama tunataka udambwidambwi ni lazima Kovacic aanze.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wachambuz wa mpira ESPN wanakwambia centre beki naeoffer throuh pass za uhakika ni antonio rudiger, Cahill anasepa na Ampadu ameshaitwa kikosi cha kwanza ameanz kufanya nao mazoez,... Luiz bench linamuhusu sana tuu......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barkley anakaba ila ni mzembe kutafuta open space na mzito kufany quick movement... Inafika muda anajisahau mpaka jorginhi anamuonesh pa kumove apokee pasi. Ila Kovacic yupo very quick mpaka ata willian kwenye interview yake ali appreciate so kwangu mimi naona barkley anahitaji training nying zaid badoo.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siamini kama Barkely ana uwezo kumzidi kovacic , naona kova anaoffer vitu vingi zaid kama kukaba, kupiga accurate passes na pia kupunguza presha ya timu pinzani, luiz pia anaongeza uhai zaid kwenye midfield

Sent using Jamii Forums mobile app
Kovacic bado hajarudisha makali yake ya Madrid. Ila sijasema Barkley anamzidi uwezo Kova.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Case ya Luiz na Barkley ni moja lakini Luiz anayo zaidi hata wakati wa Conte alisababisha timu ikabugizwa magoli mengi na AS Roma. Mimi naona apewe Andreas Christensen zaidi ili akomae bado ni mdogo kasi na concentration yake ni kubwa kuliko ya Luiz
Kwa Kovacic na Barkley, kocha aendelee kuwa interchange mpaka apate nani anafaa kwenye starting XI
Kweli mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dear Mr Sarri,
- You told us about the Sarri ball but you did not tell us tha you will convert Alonso to a striker?
- Why did you not tell us that Jorginho was not just a player but also a pass master?
- Your team had 82% ball possession and ur opponent had 18%. Isn't that wicked?
- jorginho had more passes than the whole Newcastle team. Wasn't that humiliating your counterparts?
- Minister of defence Mr Antonio Rudiger was my man of the match for that long range strike that blasted the woodwork. Did you also notice?
- lastly Mr Sarri, please help me tell Mr Kovacic that I said he is a beast that should be feared by opponents this season.
yours friendly


Sarri ball lover

N.B Please tell Mr Hazard not to be a ONE MAN GANG our opponents also need tym to breathe during play.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mpira wa chelsea ya mafegi hata tukifungwa tunaweza kusema mpira tumeucheza. tupo vizuri isipokuwa mapungufu ya beki line yetu inatutia presure wakati waechi
 
Dear Mr Sarri,
- You told us about the Sarri ball but you did not tell us tha you will convert Alonso to a striker?
- Why did you not tell us that Jorginho was not just a player but also a pass master?
- Your team had 82% ball possession and ur opponent had 18%. Isn't that wicked?
- jorginho had more passes than the whole Newcastle team. Wasn't that humiliating your counterparts?
- Minister of defence Mr Antonio Rudiger was my man of the match for that long range strike that blasted the woodwork. Did you also notice?
- lastly Mr Sarri, please help me tell Mr Kovacic that I said he is a beast that should be feared by opponents this season.
yours friendly


Sarri ball lover

N.B Please tell Mr Hazard not to be a ONE MAN GANG our opponents also need tym to breathe during play.

Sent using Jamii Forums mobile app
He also forgot to tell us that he changed kante from a player into an opponent circuit breaker

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom