Kwa hiyo maana ya timu kukamilika kwako ni ipi? Kwa kuwa inawezekana timu zingine zote zikakamilila ila Liverpool isikamilike
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo marefu bila kujibu swali la msingi.Inaonesha Hujanifahamu! Mimi sizungumzii Kwamba Chelsea Wachezaji Wake Wote Ni World Class! Hapana!
Point yangu inareflect kwenye post Ya Kwanza Niliyoiquote.
• Klopp Kapewa Timu atengeze Kwanza Ndiyo ailetee Mafanikio.
• Lakini Sarri Hakupewa Timu ya Kutengeza! Bali kapewa Timu imekilamilika alete Mafanikio Moja kwa Moja! Yani akifeli Season Moja tu Basi Anakuwa Pressurized.
• Ni sawa na Arsenal! Mshabiki wowote Wa Arsenal atakaeta Mafanikio Kwa Msimu huu Huyo Ni Mwendawazimu! Hile Timu Ni sawa na Liverpool aliyoikuta Klopp! Emery anatakiwa apewe Muda aitengeza Upya Hile Timu Kikosi Kizima.
Pale unapoulizwa dogo unakosa majibu na kuamua kutimka mbio. Good day dudeSawa tuishie Hapa! Tufanye You are right.
Binafsi hata mimi naona Christensen anastahili kunza mbele ya Luiz. Huyu jamaa ana miez 6 hajacheza for now bado hajawa fit kuanza kila match.After the Blues' 2-1 win over Newcastle, Worrall said: "If Sarri is prepared to drop Ross Barkley for Mateo Kovacic, he should drop Luiz for Christensen.
"If he's really obsessed with the experience thing, then bring on Gary Cahill.
"I like Luiz, but his lapses of concentration are a frequent liability which override his ability to play the ball out.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siamini kama Barkely ana uwezo kumzidi kovacic , naona kova anaoffer vitu vingi zaid kama kukaba, kupiga accurate passes na pia kupunguza presha ya timu pinzani, luiz pia anaongeza uhai zaid kwenye midfieldBinafsi hata mimi naona Christensen anastahili kunza mbele ya Luiz. Huyu jamaa ana miez 6 hajacheza for now bado hajawa fit kuanza kila match.
Kwa Barkley bado naona ana uhai zaidi ya Kovacic
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale unapoulizwa dogo unakosa majibu na kuamua kutimka mbio. Good day dude
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaenda kuupekenyua kwenye jukwaa lenu kuleKwa Anaefatilia Post Zangu basi anajua Wazi Kama Hapa Umenisingizia Uongo Wa Wazi.
Kovacic anakupa vitu viwili kukaba na kushambuliaBinafsi hata mimi naona Christensen anastahili kunza mbele ya Luiz. Huyu jamaa ana miez 6 hajacheza for now bado hajawa fit kuanza kila match.
Kwa Barkley bado naona ana uhai zaidi ya Kovacic
Sent using Jamii Forums mobile app
total passes 914Pass 838. Chelsea
Pass 131. Newcastle
Ukisikia tunaongoza kwa pasi nyingi usishangae
Kabla ya hii match tulikuwa na pass 1368 + 838 utajua mwenyewe utapata ngapiView attachment 847759
E&K
Commentary ya wakati wa mechi wamesema Manchester City walishawahi kufikia percentage kama hizi...sikusikia vyema ni ngapi waliongelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa SarriBall hata Morata mwaka huu atacheza na atafunga tu!Naona wote wameuelewa mfumo wa sarri iwe hazard, willian, Pedro, giroud, morata sawa tu
E&K
Awe anaanzia benchi tu.Kwa SarriBall hata Morata mwaka atacheza na atafunga tu!