lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,492
Asante, niliuliza kwa sababu sentensi yako ilinipa wasiwasi
"Hawa Spurs naona wamemgeuza Sarri Toi wao. But well done vijana. Naamini second leg mtawatoa Spurs hata kwa mtutu wa bunduki"
Asante, niliuliza kwa sababu sentensi yako ilinipa wasiwasi
"Hawa Spurs naona wamemgeuza Sarri Toi wao. But well done vijana. Naamini second leg mtawatoa Spurs hata kwa mtutu wa bunduki"
Sarri amefall in love kwa Higuaín, hata sport director Marina hakublock bali anataka bei ipungue kwa sababu kwa umri wake anaona Poundi mil 45 ni kub wa sanaMkuu huyo Higuain hastahili hata kutajwa kwenye rada za Chelsea. Sijui kwa nini media zinamwapa kick sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si bora tuongeze tumchukue Icardi. Kuliko kuweka pesa mingi kwa huyo babuSarri amefall in love kwa Higuaín, hata sport director Marina hakublock bali anataka bei ipungue kwa sababu kwa umri wake anaona Poundi mil 45 ni kub wa sana
Mkuu huyo Higuain hastahili hata kutajwa kwenye rada za Chelsea. Sijui kwa nini media zinamwapa kick sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa mawakala inabidi wawekewe sheria waanze kujiheshimu na kuheshimu kazi zao sasa. Siyo kila wakati wanafanya vitu kwa maslahi ya matumbo yao na wateja wao.Hapo Jua ni Wakala Wake tu Huyo ndiyo anayefanya proganda hizi kwenye Media ili Mchezaji Wake apewe Mkataba mpya au Chelsea wamnunuae.
Si unajua kwa lolote hapo yeye ana Percentage yake?
Hawa mawakala inabidi wawekewe sheria waanze kujiheshimu na kuheshimu kazi zao sasa. Siyo kila wakati wanafanya vitu kwa maslahi ya matumbo yao na wateja wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Paredes 24yrs amekomaa tofauti na Barella 21yrsAlfredo Pedulla | #Chelsea pulled OUT of Barella race and now will continue pursuing Paredes. #CFC
The club is saving a big budget for striker signing.
Paredes atakuwa Jorginho backup ila Barella anapiga namba zote kati kati pale. Tungemchukua Barella
Chelsea chini ya Sarri inacheza mchezo unaofanana na Man city chini ya Pep, lakini ingekuwa ni Chelsea wanacheza dhidi ya Burton matokeo guess yangekuwa 1-0 au 2-1. Hapo ndio unajua tunahitaji washambuliaji na wachezaji ambao wana njaa na shauku ya kufunga tu bila kukoma
View attachment 990786
Between Huguain, Wilson and Pareses two will be signed at ChelseaPlayers below are on Chelsea Radar in January 2019 window:
1) Gonzalo Higuaín 31yrs- striker -still a target
2) Mauro Icardi 25yrs- striker
3) Marko Arnautovic 29yrs- striker
4) Krzysztof Piatek 23yrs- striker
5) Denis Suarez 25yrs CMF
6) Jamie Vardy 32yrs- striker
7) Callum Wilson 26yrs - striker
8) Nicolò Barella -21yrs - MF
9) Leandro Paredes - 24yrs - MF
bora arudi huyu kuliko kuchukua wale kina higuanValencia confirm that Michy Batshuayi will end his loan early and return to Chelsea this month
Barkley ni kama New Lampard ..anazidi Ku gain momentum kila dakika anayocheza.
Assist za leo kahusika kama zote...
Kwangu mimi ndo man of the match
Hongereni kwa ushindi wakubwa, mnatisha.
Mpaka sasa naona kabisa namba 3 ni ya kwenu nyuma ya Man City na Liverpool.
Kuna pesa hapa.Kuna watu mnapenda kujifariji.
I swear to you...Liverpool ikimaliza huu msimu juu yetu kwa njia yoyote utakayoamua..nitakupatia Laki tano kamili.
Sihitaji chochote kwako..ni imani niliyonayo juu ya hii klabu aisee.
Hiyo pesa ilifika 750,000=/ , Liverpool kumaliza juu ya ChelseaHehee.. Mkuu na mimi najazia hapo. Naongeza kilo mbili na nusu iwapo nyinyi mtamaliza juu yetu.
Hamba mbavu wala ubavu huo. Namaanisha nisemacho