Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

shoq
We jamaa unazingua kwenye ligi mpka sasa unamlinganisha messi na huyo jamaa kwa kipi acha unazi mkuu.Form ya messi kabla ya kuumia mkono siyo ya kitoto man.
Alaf huyo aliyewekwa mfukon na young huwa hawezi shoo za kikubwa huwa anajua kudrible kwa vitoto tu.
Nakubaliana na wewe ina maana man u ana show za kikubwa kuliko arsenal na liver ? Unajisahauliaha alivyowafanya
 
Tuko vizuri
Screenshot_20181028-171935.jpg
 
Barkley ni kama New Lampard ..anazidi Ku gain momentum kila dakika anayocheza.

Assist za leo kahusika kama zote...

Kwangu mimi ndo man of the match
 
Utani pembeni, Courtois anatia huruma sana huku kwenye hii derby.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom