Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tuko vizuri naungana na Willian kusema tutapambana kuhakikisha msimu huu hatutoki mikono mitupu
 
Mr.Clean
Screenshot_20181028-235138.jpg
 
Mkuu Acha utani hata kama hazard hatakuwemo hawezi kucheza Loftus cheek
Sarri ana kikosi chake cha europa league na cha league kuu England kama unamfatilia vizuri
Kule mbele leo kama hazard hatakuwepo ni Pedro Morata na willian
Nadhani umeona manufaa ya nilichosema
 
Kovacic ajiangalie anaweza kupoteza namba sasa hivi. Sarri ameanza kumuona Barkley ni complete. Kovacic inapokuja suala la defensive yupo vizuri zaid kama tunacheza na team ngumu
Baklay ana udhaifu wake hajui kuzuia kwa hiyo match kubwa na ngumu itamuhitaji bado kovacic
Kingine aliamua kumpumzisha kwa kuwa alicheza match katikati ya wiki ya Europe
 
Kabugizwa 5 ataikumbuka Chelsea na EPL kwa ujumla
Mi naona bora Navas angekaa golini wasingepigwa zote hizo na Barcelona
Thibaut courtois bado kukaa bench tu na hilo litatimia akija kocha mpya pale real Madrid
Itakuwa shangwe sana
 
Nadhani umeona manufaa ya nilichosema
Kajitahidi mkuu dogo amechukua nafasi ya Pedro akaitendea haki
Nafikiri awe anapewa nafasi ila nafasi yake hasa ni katikati mkuu hata zile tatu alizifunga kwa kucheza hapo katikati ila ni vizuri sarri akamwamisha nafasi anaweza kuwa mfungaji mzuri sana
Kiukweli amekomaa sana hivi sasa
 
Tatizo wanajifanya hawajui hii team kwa mpira inaopiga hivi sasa hata akikosekana hazard ushindi utakuwepo tu View attachment 914688

Nyie muna mbwembwe kweli! Madrid walipokuwa Wanashinda Walisema Kama hivi kuwa Kaondoka Ronaldo na Zidane na timu inashinda.. Lakini Nadhani sasahivi Table yao inaongea Kule ...

Na sidhani kuwa Mshabiki Wa Mpira anaweza kusema Bila ya Hazard timu haiwezi Kushinda....

Bali mtu kama Mimi naweza kusema bila ya Hazard kuna zile Mechi ambazo Ni Tough game zinazohitaji Skills binafsi ya Mchezaji kukupa ushindi from nowhere Ni Vigumu timu kushinda Mechi kama hizo.

Hii si kwa Chelsea Bali kwa timu nyingi zinakuwa na tabia kama hii.

So, Bila ya Hazard timu inaouwezo Wa kushinda lakini kuna Mechi ili ushinde Ni lazima umuhitaji Hazard.

Angalia mfano Wa Mechi zote Mbili ulizocheza na Liverpool zinaweza kukusaidia kukupa jibu.

Lakini Mechi vs Burnley, BHA, Huddersfield, Cardiff, Fulham and the likes huhitaji Hazard kuweza Kuwawajibisha.
 
Mi naona bora Navas angekaa golini wasingepigwa zote hizo na Barcelona
Thibaut courtois bado kukaa bench tu na hilo litatimia akija kocha mpya pale real Madrid
Itakuwa shangwe sana
Lakini sub ya Dembele ndio iliyommaliza kabisa na ubovu wa defence ikiliongozwa na Ramos
Antonio Conte ndio anatajwa kwenda Bernabeu wiki hii tutapata majibu ya mazungumzo yanayoendela. Na kwa kichapo cha jana cha 5-1 huyu kocha wa sasa hatasurvive
 
*I never understood that P Square song “you do me, I do you” until Madrid sold Morata to Chelsea and they gave them Courtois*
 
Nyie muna mbwembwe kweli! Madrid walipokuwa Wanashinda Walisema Kama hivi kuwa Kaondoka Ronaldo na Zidane na timu inashinda.. Lakini Nadhani sasahivi Table yao inaongea Kule ...

Na sidhani kuwa Mshabiki Wa Mpira anaweza kusema Bila ya Hazard timu haiwezi Kushinda....

Bali mtu kama Mimi naweza kusema bila ya Hazard kuna zile Mechi ambazo Ni Tough game zinazohitaji Skills binafsi ya Mchezaji kukupa ushindi from nowhere Ni Vigumu timu kushinda Mechi kama hizo.

Hii si kwa Chelsea Bali kwa timu nyingi zinakuwa na tabia kama hii.

So, Bila ya Hazard timu inaouwezo Wa kushinda lakini kuna Mechi ili ushinde Ni lazima umuhitaji Hazard.

Angalia mfano Wa Mechi zote Mbili ulizocheza na Liverpool zinaweza kukusaidia kukupa jibu.

Lakini Mechi vs Burnley, BHA, Huddersfield, Cardiff, Fulham and the likes huhitaji Hazard kuweza Kuwawajibisha.
Unachokisahau ni kwamba Madrid ilitengenezwa kupitia Ronaldo Ndio maana wanataabika pia team imechoka hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom