Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

article-0-0C973AA3000005DC-619_634x333.jpg



Cech - mate!

Khe khe khe daraja la makuti litasimama ipi kwenye kimbunga?


Rev Kishoka nilikuambia ukipinga ufisadi upinge kila mahali

sio ule wa Magogoni tu kwa rais Mwizi.
 
Naona leo hata matusi hakuna mmekunywa vidonge vyenu sawa sawa. Hivi Drog the Bar , Essien sijui malouda walikuwepo? Muuza unga naye pamoja na Lamps bila kumsahau Cash cole ...


BTW tutakutana tena kwenye EPL msimu ujao .... .... tunawasubiri vikongwe wengie watinge Emirates tuwape dawa.
 
Jukwaa limekimbiwa... Yani nyie jamaa bado nawamind kwa kupostpone mechi yetu.


''Ebana ukiiongelea Chelsea unaniumiza weye! Wacha bana, minya tu mwana... Mbona mi sijaongea chochote juu ya Arsenal? Minya babake! ..... ''

Bila kusahau Cech hapa chini lini mafioso walishinda ....






sport_splash2_1181798a.jpg




Ataogopaje wakati Pilato amekwishatoa hukumu ... ...

khe khe kheeeeee


Wacha washabiki wa Mafioso team - Chelsick waendelee kuchungulia tu pengine wanaweza kumaliza matanga, ... ... ... mechi yao ya mwisho kushinda khe khe ilikuwa na hiki kitimu mnakijua? .... kinatoka Slovakia kinaitwa MSK Zilina khe khe kheeeeeeeeee


Hivi walicheza nao lini? ... .... ..


Chacha njomba jukwaa waka moto Mungiki brother bado iko Kibera .... .... Invisible Teachers hapana nyweka mwaka mpya x-mass na season party halibika... ... Peasant not himself wakati Rev Masa na Kishoka ngebe kwishnei.




Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee and I'm still waiting for an answer jamani eheeeeeeeeeeee mlicheza na MSK Zilina lini?
 
daraja linasambaratika - inasikitisha sana - tumezidiwa - hali ni mbaya.
 
Kuna waheshimiwa 2 wa jukwaa hili sijawona hapa siku nyingi sana sijui hawana access na internet?
 
funny_owl_07.jpg


...'Bundi albino' kafungua ofisi Darajani,... yaani ni misiba mfululizo, duhhh!!!
Mbu, kuna vile vimechi vidogo komaeni navyo, maana baada ya hii mechi ya jana mngekuwa 6 points above the league leaders. Unapotaka ubingwa unatakiwa kushinda kila mechi na hapo utaona hata Mou anakaa kimya.
 
daraja linasambaratika - inasikitisha sana - tumezidiwa - hali ni mbaya.

...bad patch tu hiyo kaka, ...ni message kwa Abramovich afungue pochi January window, kisha aache kuwatimua staff wazuri i.e Wilkins et al.
Acheni Lote nae si kashauriwa na Arsene Wenger ampumzishe Drogba kwa muda?,...he's out of form!
 
CHELSEASPLASH_1216245a.jpg


CARLO ANCELOTTI'S Chelsea future looked bleaker than ever last night. His Blues were torn to shreds by Arsenal and have now picked up just six points from their last eight league games. Only Fulham have a worse record over the same period and Roman Abramovich's patience may now be close to breaking point.


article-0-0C974969000005DC-412_634x320.jpg


Gunned down: Chelsea's dejected stars face up to defeat

at the Emirates Stadium


Wakuu ni majeruhi tu kwa kwenda mbele .... .... khe khe kheeeeeeeeee


 
Nyie mna matatizo makubwa sana nahisi......am counting on you. Pooleni.
 
Ila na nyie mkome mlizidi kutunyima raha mwanzo wa ligi...Wengine mlifikia hatua ya kutangaza ubingwa in october mkisaidiwa na kina Mancini na magazeti kama daily mail. Natumaini crisis hailoom hapo darajani maana hiyo itakuwa na effect mbaya zaidi.
 
Nasi tunazidi kuwasukumia huko, tumewapeleka nafasi 5 kwa muda. Wakizubaa imekula kwao, darajani mpooooooooo!
 
article-1342322-0C993098000005DC-81_468x221.jpg




Chinachubiri manager wa saba .... ..... 7th governor where is he?


Cech-splash_1217004a.jpg



DOWN AND OUT ... Petr Cech says Chelsea have no hope

of retaining title on current form


Karibuni karibuni kwenye EPL khe khe kheeeeeeeeeeeee


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom