Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
...Napenda kutuma salaamu kwa Peasant, Masanilo, Ab-Titchaz, Aljuniortz, Sanda Matuta, kaka Invisible na wengine wote wanaonifahamu
Ujumbe ni "Kilio huanza mfiwa ndipo wa mbali wakaingia"
GETTY IMAGES![]()
...Naomba salamu zangu zisindikizwe na kibao cha Chege na Mh Tembe ft Nahu - Mkono mmoja weka juu!
Ahsante. 😛ray2: