Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Poleni wakuu labda mtaambulia hata kapoint kamoja. Dakika ndiyo zinazidi kuyoyoma. Matokeo yakibaki hivi si ajabu kibarua cha mtu kikaota majani kabla ya wiki kwisha.


...ha ha haaha, kwakweli wanastahili pole na sasa wamesawazisha.
 
...ha ha haaha, kwakweli wanastahili pole na sasa wamesawazisha.

Nimemuona Drogba akifanya vitu vyake. Wana bahati ya mtende dakika ya 90 wanafanya vitu vyao. Nadhani hii mechi ndiyo kwishnei. Duh 3-3!
 
HAhahahahaahah Hapi niu yia mkuu! mwaka huuu mmmmhhhhh

...haki ya nani sikutegemea mtachechemea namna hii,..angalau Terry kawarudishia matumaini kidogo, pheeeeeewwww...
ingekuwa aibu bro!

Happy New Year to you all!
 
Watani hahahahaah nawaona mumeshikilia zile sehemu hahahahaah
 
eeeehhhh???? ....whaaaaat?
Mungu wangu! A.Villa wamerudisha!!!

3-3!!!

ha ha ha
 
Watani hahahahaah nawaona mumeshikilia zile sehemu hahahahaah

Sehemu zipi? zitaje basi hahahahahahahah hi mechi imekuwa back and forth kuliko hata nilivyotegemea. Miye nilishawapa points tatu hata kabla ya mechi hasa ukitilia maanani performance ya AV siku za karibuni ni ya kusuasua lakini nanyi mko kwenye boti hilo hilo.
 
Mbu aligusia hii kitu; there something fishy going on in Stamford Brigde.
......so, huenda Mbu alikuwa right.

...ha ha ha, Manda hawa jamaa Drogba huenda kawaambukiza Malaria.

CHELSEA...

images
 
...ha ha ha, Manda hawa jamaa Drogba huenda kawaambukiza Malaria.

CHELSEA...

images


LOL Mbu hahahahahah timu nzima ina Malaria hahahahahaha and the culprit is none other their star player
 
Hodi hodi wenyewe mpooooo? Nasikia kuna Matanga mengine mmeanzisha vipi? Je, mlibebwa leo nasikia mlifunga goli la matuta? Khe khe khe kheeeeeeeee Je mmepata nafasi ya nne?
 
Matoeka kama haya hayakubaliki kabisa hayaendani na value ya wachezaji wa chelsea .

siju chelsea fan wanasemaje.

Maaana pay slip ya wiki ya wachezaji watatu wa chelsea inalipa 1st 11 wote wa Aston Villa

teh teh
 
Duuh! We're still performing so badly, something need to be done soon....but not sacking Carlo, I still believe in him.

KTBFFH
 
Matoeka kama haya hayakubaliki kabisa hayaendani na value ya wachezaji wa chelsea .

siju chelsea fan wanasemaje.

Maaana pay slip ya wiki ya wachezaji watatu wa chelsea inalipa 1st 11 wote wa Aston Villa

teh teh

Nasikia Abraham O Vich bado yuko kwenye chehere za mwaka mpya hivyo basi mpunga kutoka kwa Muuza unga na Wizi wa bidhaa ulikuwa haukutosha kuwalipa marefa ...... .... .... khe khe kheeeeeeeeeeee


Msijali nasikia anarudi very soon atamwaga radhi ... .... khe khe kheeeeeee



_50640601_010932504-1.jpg



Cech akiwanga golini .... ...


_50640684_010932569-1.jpg



Young alipokuwa akifanya vitu vyake ....


_50640917_010932678-1.jpg



Heskey hakuchelewa kuwabambika cha pili .....

_50641140_010932758-1.jpg


Chelsick pensioners hawakufua dafu leo .... ...
 
Hodi hodi wenyewe mpooooo? Nasikia kuna Matanga mengine mmeanzisha vipi? Je, mlibebwa leo nasikia mlifunga goli la matuta? Khe khe khe kheeeeeeeee Je mmepata nafasi ya nne?

Hawapo mkuu wameshakisusa kijiwe hahahahahahah sisi tu ndiyo huwa tuna moyo wa kuendelea kubaki na kujiliwaza, lakini hawa jamaa wameshakimbia haraka sana. Nadhani wote wamenuna saa hizi LOL! lakini angalau wameambulia kapoint kamoja au ingekuwa ni aibu nyingine kubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom