Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
Poleni wakuu labda mtaambulia hata kapoint kamoja. Dakika ndiyo zinazidi kuyoyoma. Matokeo yakibaki hivi si ajabu kibarua cha mtu kikaota majani kabla ya wiki kwisha.
...ha ha haaha, kwakweli wanastahili pole na sasa wamesawazisha.