Duuh! Leo tumecheza hovyo sana. Hongera zenu Arsenil, you deserve the win.
Sijui kwanini wachezaji wetu wamepotezamipira kiasi hicho, yaani hata body language yao inaonyesha kama hawako uwanjani vile. Nasuburi hizo kelele za fat Arses hapa jukwaani sasa.
U dont sound OK Peasant, Anything I can do to help u???? January is a Transfer window for both players and Supporters, Cant u consider this as an Ideal solution to ur Problems???? Just Imagine, 8 games = 6 points. For how long will u keep suffering while u exactly know where the Happiness Belong????? U r warmly welcome as a GOONER FUN, from 1st of JAN. U will be happy there....TRUST ME....
my simple defn ya KELELE " Ni sauti zisizo na Mpangilio na zisizohitajika" Unatujua vizuri, Hatuna Kelele. Ni ukweli tu, Ila kama hupendi kusikia maneno yetu zitakua KELELE.... FOOTBALL INA RAHA YAKE NDG YANGU PEASANT....
Hahahahaha! My friend, I will die a Blue....I naturally hate red colour. BTW, we're in kinda of trouble, I didn't like the body language of some Chelsea players, they look like a batch of uninterested tourists!!!!
Don't take it seriously, just a joke....na kwa kuwa kelele ni SAUTI kwa hiyo siwezi kuzisikia hapa jamvini, ni neno tu nimetumia kwamba nasubiri post nyingi za utani na kejeli kutoka Arsenal....I hope umenipata sasa.
Baada ya kumuona huyu Ramires kwene mechi nyingi na za kutosha sijaona hasa what was so special about him TBH.
Duuh! Leo tumecheza hovyo sana. Hongera zenu Arsenil, you deserve the win.
Don't take it seriously, just a joke....na kwa kuwa kelele ni SAUTI kwa hiyo siwezi kuzisikia hapa jamvini, ni neno tu nimetumia kwamba nasubiri post nyingi za utani na kejeli kutoka Arsenal....I hope umenipata sasa.
Poleni kwa kipigo cha mbwa mwizi
Ingekuwa bongo mngeeanza kutafuta mchawi aliyesababisha gori mbili za mwisho
Kwa sababu umenigongea Thanx hapo Juu then nakubaliana nawe hutaki kusoma wana GOONERS tunachoandika, but simple qn....What is the Next Move???? Mnamtimua CA au January mtapambana na Man City Sokoni?????
Wala utakiwi kutafuta mchawi, maana mabaso mawili ya mwisho ni uzembe wa wazi kabisa, jamaa wamepoteza mipira kizembe sana.
Chance kubwa ni kununua mchezaji mmoja/wawili, kama umeangalia bench letu leo ndio utajua kwamba kikosi ni kdogo sana. Lakini tatizo kubwa nafikiri si kikosi tu, inaonekana wachezaji hawana confidence baada ya matokeo mabovu mfululizo.
Ukisikia kosa moja viboko 100 ndo hiyo sasa hivi Anelka aka Mapung'o anaumwa? huyu angewaokoa hawa wa Ivory walikuwa wanawaza vita uwanjani
Ni kweli dogo ana mapafu ..ila his game reading tactics, positioning, tackles, passes and finish skills are horrendous. TBH.He is BRAZILIAN.............
Unamaanisha suala la wao kuwa na marais wawili limewaathiri hawa Jamaa??? Essien Je?????